Nahitaji kubadili dini ili nioe

Nahitaji kubadili dini ili nioe

Una mafunzo ya kiislam ya kiwango kikubwa sana?! Yaani kikubwa sana
 
ubadili dini kwa ajili ya demu mkiachana??? kwa staili hiyo utaburuzwa maisha
 
Mzushi wewe ungeujua uislam wala usingefikiria upuuzi wako sasa unatuambia sisi tukusaidie nini wakati wazazi wako hujawaambia amua upendavyo hesabu yako utaikuta

naomba basi unieleweshe zaid uislamu ili nisije nikajikuta nimepotea ninapotaka kwenda
 
Back
Top Bottom