Nahitaji kuacha kunywa pombe

Nahitaji kuacha kunywa pombe

Mimi mwenyewe ina nitesa sana. Ila naamini kuna sikua nitaacha.

Ukitambua kwamba ni tatizo (wanaita insight) tayari upo kwenye asilimia kubwa ya kupata suluhisho.

Kukosa usingizi (insomnia) ni sehemu ya withdraw syndromes pamoja na kupata maruweruwe, kwa mfano mimi napataga hallucinations kabisa, kuona vitu visivyo na uhalicia.

Rehab zipo ila principles ni hizo hizo watakuambia lazima nia itoke kwako ili uweze kuacha, lazima utayari utoke ndani yako.

Kama una hisi hali ni mbaya sana chukua likizo kazini nenda rehab, au kama uko dar kuna AA groups za jioni, haya ni mafunzo maalumu mnakutana walevi na kushauria na kuna kua na mwalimu wa follow up.

Kuhusu maruweruwe kuna hizi dawa za benzodiazepines huwa zina uzwa kwa cheti cha daktari kwa kua ukizoea zina sababisha uraibu nazo, mimi hua na tumia 'clonanzapine' kwa dar huwa unaweza pata pharmacy bila masharti magumu. Tumia kwa muda mfupi maruweruwe yataisha na utapata usingizi ila usiruhusu zikuzoee.

Pata muda wa kufanya mazoezi baada ya kutoka kazini ukichoka utalala tu na itapunguza muda wa kukaa bila kitu cha kufanya na hauta waza pombe.

Kama kuna kitu kina kuletea sonono tafuta usuluhishi, fanya sana ibada au yoga au gym. Watu wanao kuletea mawazo hasi achana nao.

Ila mwisho wasiki lazima kiwe ni kitu kina toka ndani yako, uamuzi wa ndani kabisa utoke kwako na kwa nia moja. Madaktari wa sober au kufungiwa ndani haisaidii bila kuamua kwa dhati.
 
Pombe haina shida ukinywa kiasi.. kwa week unatenga siku moja ya kunywa pombe na marafiki zako...

Kila kitu ukikifanya kwa kiasi kinaleta afya.. na kitu chochote ukikifanya kwa kupindukia inakuletea matatizo kwenye familia yako na maisha yako kiujumla..

Kunywa soda sanaa au juice tatizo hilo, kusali sanaa na kusahau kazi ni tatizo hilo hela zako atakula zote nabii...

Kila kitu afanye kwa kiasi

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
➡️ Kipimo cha kiasi ni kitu ambacho hakieleweki na imekuwa ni utetezi wa watu wanaofanya jambo fulani ambalo linakuwa baya machoni pa wengi

➡️ Wengi walioharibikiwa na maisha sababu ya kuwa addicted na kilevi cha aina yoyote walianza na kauli hizo hizo za kuhalalisha kuwa kunywa pombe, kwa kiasi , vuta sigara kwa kiasi , vuta bangi kwa kiasi,bwia madawa kwa kiasi mwisho wa siku kipimo cha kiasi kikawa kinaongezeka siku moja baada ya nyingine kutokana na stress, kupungua au kuongezeka kwa uchumi, mwisho wakawa ndio baadhi tunaowaona wanaongea viingereza vya kilevi mtaani

➡️ Sijakataa, ila miili yetu inatofautiana kuna baadhi ya miili ikionja kitu inatamani kingi zaidi( safari moja huanzisha nyingine) na kuna baadhi ya watu hawawezi kuwa addicted na ulevi fulani ! Asilimia kubwa ya watu ndio ulevi unawaharibu mpaka wanafika mahali hawawezi kufanya kitu bila kunywa, asipokunywa mikono inatetemeka nao walianza kwa kiasi

➡️ Kama wanao wanaweza kukusikiliza daima wape mafundisho kuwa vilevi si jambo zuri na ikiwezekana wewe usiwe chanzo cha uzazi wako kuwa mlevi kwa kukuiga. Hakuna mateso ambayo mzazi anayapata kuona mwanaye anateseka au anakuwa kitu tofauti na alivyomuandaa kwa aababu ya ulevi
 
Nitafute nikupatie hiki kitabu. Kinaweza kukusaidia.

IMG_20220422_094934_462.jpg
 
Kipimo cha kiasi ni kitu ambacho hakieleweki na imekuwa ni utetezi wa watu wanaofanya jambo fulani ambalo linakuwa baya machoni pa wengi

Wengi walioharibikiwa na maisha sababu ya kuwa addicted na kilevi cha aina yoyote walianza na kauli hizo hizo za kuhalalisha kuwa kunywa pombe, kwa kiasi , vuta sigara kwa kiasi , vuta bangi kwa kiasi,bwia madawa kwa kiasi mwisho wa siku kipimo cha kiasi kikawa kinaongezeka siku moja baada ya nyingine kutokana na stress, kupungua au kuongezeka kwa uchumi, mwisho wakawa ndio baadhi tunaowaona wanaongea viingereza vya kilevi mtaani

Sijakataa, ila miili yetu inatofautiana kuna baadhi ya miili ikionja kitu inatamani kingi zaidi( safari moja huanzisha nyingine) na kuna baadhi ya watu hawawezi kuwa addicted na ulevi fulani ! Asilimia kubwa ya watu ndio ulevi unawaharibu mpaka wanafika mahali hawawezi kufanya kitu bila kunywa, asipokunywa mikono inatetemeka nao walianza kwa kiasi

Kama wanao wanaweza kukusikiliza daima wape mafundisho kuwa vilevi si jambo zuri na ikiwezekana wewe usiwe chanzo cha uzazi wako kuwa mlevi kwa kukuiga. Hakuna mateso ambayo mzazi anayapata kuona mwanaye anateseka au anakuwa kitu tofauti na alivyomuandaa kwa aababu ya ulevi
Pombe haina shida mzee mi nakunywa nikiamua..

Nisipo amua natulia tuu na siwezi kufululiza siku mbili kunywa pombe ni mara moja kwa week ama mbili tuu

Siku zingine nawahi familia

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Habari za kwenu humu
Nina mwaka wa 12 sasa nakunywa pombe, nahitaji kuacha lakini nashindwa. Kila nikijaribu kuacha napata wakati mgumu sana hasa nimeshazoea nikinywa napata usingizi mapema usiku. Wiki hii nimejaribu kuacha kunywa siku moja, lakini usiku sikupata usingiz kabisa... Nimehisi mauzauza usiku mzima, nimekaa macho mpaka asubuhi.
Je hali hii ndo huwatokea wanywaji wote au ni kwangu tu? Jana kuna rafiki yangu ambae hatukuonana kitambo sana, ameisha sana kwa sababu ya pombe. Hii imenifanya nifikirie kuacha hii kitu, mana ninakoelekea si pazuri.

Nifanyeje ili niweze kuacha bila kupata hayo mauzauza ya kukosa usingizi?
Punguza kunywa pombe na baadae uache kabisa.
 
Habari za kwenu humu
Nina mwaka wa 12 sasa nakunywa pombe, nahitaji kuacha lakini nashindwa. Kila nikijaribu kuacha napata wakati mgumu sana hasa nimeshazoea nikinywa napata usingizi mapema usiku. Wiki hii nimejaribu kuacha kunywa siku moja, lakini usiku sikupata usingiz kabisa... Nimehisi mauzauza usiku mzima, nimekaa macho mpaka asubuhi.
Je hali hii ndo huwatokea wanywaji wote au ni kwangu tu? Jana kuna rafiki yangu ambae hatukuonana kitambo sana, ameisha sana kwa sababu ya pombe. Hii imenifanya nifikirie kuacha hii kitu, mana ninakoelekea si pazuri.

Nifanyeje ili niweze kuacha bila kupata hayo mauzauza ya kukosa usingizi?
Kuna tofauti ya kulewa pombe na kunywa pombe
Kulewa pombe ni pale ambapo unatabia ya kunywa pombe mpaka ulewe chakari ndiyo unardhika mtu wa aina anaitwa mlevi
Kunywa pombe kwa upande mwingine ni kunywa kiasi kidogo cha pombe kama kiburudisho tu au sehemu ya chakula na si lazima unywe kila siku ndiyo upate usingizi watu wa aina hii huitwa wanywaji.
 
Kuna watu wamefanya ngono hadi na ndugu zao wa damu sababu ya ulefi .

Ukiweza kuacha itapendeza na kuepusha na changamoto za kiafya.
 
Habari za kwenu humu
Nina mwaka wa 12 sasa nakunywa pombe, nahitaji kuacha lakini nashindwa. Kila nikijaribu kuacha napata wakati mgumu sana hasa nimeshazoea nikinywa napata usingizi mapema usiku. Wiki hii nimejaribu kuacha kunywa siku moja, lakini usiku sikupata usingiz kabisa... Nimehisi mauzauza usiku mzima, nimekaa macho mpaka asubuhi.
Je hali hii ndo huwatokea wanywaji wote au ni kwangu tu? Jana kuna rafiki yangu ambae hatukuonana kitambo sana, ameisha sana kwa sababu ya pombe. Hii imenifanya nifikirie kuacha hii kitu, mana ninakoelekea si pazuri.

Nifanyeje ili niweze kuacha bila kupata hayo mauzauza ya kukosa usingizi?
Ahhh.. nilijua niko na shida kumbe tuko wengi

Sent from my SAMSUNG-SM-J327A using JamiiForums mobile app
 
Habari za kwenu humu
Nina mwaka wa 12 sasa nakunywa pombe, nahitaji kuacha lakini nashindwa. Kila nikijaribu kuacha napata wakati mgumu sana hasa nimeshazoea nikinywa napata usingizi mapema usiku. Wiki hii nimejaribu kuacha kunywa siku moja, lakini usiku sikupata usingiz kabisa... Nimehisi mauzauza usiku mzima, nimekaa macho mpaka asubuhi.
Je hali hii ndo huwatokea wanywaji wote au ni kwangu tu? Jana kuna rafiki yangu ambae hatukuonana kitambo sana, ameisha sana kwa sababu ya pombe. Hii imenifanya nifikirie kuacha hii kitu, mana ninakoelekea si pazuri.

Nifanyeje ili niweze kuacha bila kupata hayo mauzauza ya kukosa usingizi?
Wewe uko kama Mimi
Ukipata dawa nistue mkuu
 
Habari za kwenu humu
Nina mwaka wa 12 sasa nakunywa pombe, nahitaji kuacha lakini nashindwa. Kila nikijaribu kuacha napata wakati mgumu sana hasa nimeshazoea nikinywa napata usingizi mapema usiku. Wiki hii nimejaribu kuacha kunywa siku moja, lakini usiku sikupata usingiz kabisa... Nimehisi mauzauza usiku mzima, nimekaa macho mpaka asubuhi.
Je hali hii ndo huwatokea wanywaji wote au ni kwangu tu? Jana kuna rafiki yangu ambae hatukuonana kitambo sana, ameisha sana kwa sababu ya pombe. Hii imenifanya nifikirie kuacha hii kitu, mana ninakoelekea si pazuri.

Nifanyeje ili niweze kuacha bila kupata hayo mauzauza ya kukosa usingizi?
Binafsi nimeweza baada ya kifanya mazoezi kukimbia kidogo n.k then nikitoka kijasho naoga maji baridi napanda kitandani nikiwa nimeshiba vizuri hapo nalala bila mauzauza mengi

Sent from my SAMSUNG-SM-J327A using JamiiForums mobile app
 
Pombe sio tatizo tatizo ni MTU mwenyewe...kunywa Kwa kiasi...hata civilized society wanakunywa sana baada ya kazi
Mm nakunywa ukoo mzima hawajui kama nakunywaga...kama hujawai kutumia kilevi chochotee ujue haujawai kuishi
Drink responsible...pombe huchangamsha akili
 
Pombe inakufanya unakuwa chizi...ila chizi ambaye hujijui kama ni chizi.

Mkuu ni kuamua tu.
 
Back
Top Bottom