Kelvin X
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,940
- 2,402
Mimi mwenyewe ina nitesa sana. Ila naamini kuna sikua nitaacha.
Ukitambua kwamba ni tatizo (wanaita insight) tayari upo kwenye asilimia kubwa ya kupata suluhisho.
Kukosa usingizi (insomnia) ni sehemu ya withdraw syndromes pamoja na kupata maruweruwe, kwa mfano mimi napataga hallucinations kabisa, kuona vitu visivyo na uhalicia.
Rehab zipo ila principles ni hizo hizo watakuambia lazima nia itoke kwako ili uweze kuacha, lazima utayari utoke ndani yako.
Kama una hisi hali ni mbaya sana chukua likizo kazini nenda rehab, au kama uko dar kuna AA groups za jioni, haya ni mafunzo maalumu mnakutana walevi na kushauria na kuna kua na mwalimu wa follow up.
Kuhusu maruweruwe kuna hizi dawa za benzodiazepines huwa zina uzwa kwa cheti cha daktari kwa kua ukizoea zina sababisha uraibu nazo, mimi hua na tumia 'clonanzapine' kwa dar huwa unaweza pata pharmacy bila masharti magumu. Tumia kwa muda mfupi maruweruwe yataisha na utapata usingizi ila usiruhusu zikuzoee.
Pata muda wa kufanya mazoezi baada ya kutoka kazini ukichoka utalala tu na itapunguza muda wa kukaa bila kitu cha kufanya na hauta waza pombe.
Kama kuna kitu kina kuletea sonono tafuta usuluhishi, fanya sana ibada au yoga au gym. Watu wanao kuletea mawazo hasi achana nao.
Ila mwisho wasiki lazima kiwe ni kitu kina toka ndani yako, uamuzi wa ndani kabisa utoke kwako na kwa nia moja. Madaktari wa sober au kufungiwa ndani haisaidii bila kuamua kwa dhati.
Ukitambua kwamba ni tatizo (wanaita insight) tayari upo kwenye asilimia kubwa ya kupata suluhisho.
Kukosa usingizi (insomnia) ni sehemu ya withdraw syndromes pamoja na kupata maruweruwe, kwa mfano mimi napataga hallucinations kabisa, kuona vitu visivyo na uhalicia.
Rehab zipo ila principles ni hizo hizo watakuambia lazima nia itoke kwako ili uweze kuacha, lazima utayari utoke ndani yako.
Kama una hisi hali ni mbaya sana chukua likizo kazini nenda rehab, au kama uko dar kuna AA groups za jioni, haya ni mafunzo maalumu mnakutana walevi na kushauria na kuna kua na mwalimu wa follow up.
Kuhusu maruweruwe kuna hizi dawa za benzodiazepines huwa zina uzwa kwa cheti cha daktari kwa kua ukizoea zina sababisha uraibu nazo, mimi hua na tumia 'clonanzapine' kwa dar huwa unaweza pata pharmacy bila masharti magumu. Tumia kwa muda mfupi maruweruwe yataisha na utapata usingizi ila usiruhusu zikuzoee.
Pata muda wa kufanya mazoezi baada ya kutoka kazini ukichoka utalala tu na itapunguza muda wa kukaa bila kitu cha kufanya na hauta waza pombe.
Kama kuna kitu kina kuletea sonono tafuta usuluhishi, fanya sana ibada au yoga au gym. Watu wanao kuletea mawazo hasi achana nao.
Ila mwisho wasiki lazima kiwe ni kitu kina toka ndani yako, uamuzi wa ndani kabisa utoke kwako na kwa nia moja. Madaktari wa sober au kufungiwa ndani haisaidii bila kuamua kwa dhati.
Kipimo cha kiasi ni kitu ambacho hakieleweki na imekuwa ni utetezi wa watu wanaofanya jambo fulani ambalo linakuwa baya machoni pa wengi