Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 21,294
- 46,029
Pole sana, ila jitahidi upunguze sio kuacha.
Ukijifariji umeacha, siku ukija kuzimua tutakuzika.
Punguza tu kijana, usiache.
Na uzuri ukipunguza utaanza kuiongoza sio kama sasa inavokuongoza hadi kupata usingizi unaitegemea.
Ukijifariji umeacha, siku ukija kuzimua tutakuzika.
Punguza tu kijana, usiache.
Na uzuri ukipunguza utaanza kuiongoza sio kama sasa inavokuongoza hadi kupata usingizi unaitegemea.