habari wana JF,
Mimi ni mtu ambaye naihusudu morogoro sana. Nataka kiwanja cha kujenga nyumba ya makazi maeneo ya kihonda au nanenane. Lakin kwa kuwa Moro ni kubwa basi kiwanja chochote katika maeneo yoyote ili mradi kisizidi M3 kitanifaa saana.
Aksanteni Wadauy