Nahitaji Kiwanja Dodoma

Nahitaji Kiwanja Dodoma

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,438
Reaction score
3,951
Nahitaji kiwanja Dodoma sifa za kiwanja na offer ni kama ifuatavyo:

1. Kiwanja kisiwe umbali wa Meter 600 kutoka barabara ya lami.

2. Kiwanja kisiwe sehem yenye mafuriko ya msimu wa mnvua.

3. Kiwanja kiwe sehem ambapo Hiace zinafika yani zifike lami ambapo mtu atashuka na kwenda mita 600 kufika eneo husika ya kiwanja.

4. Kiwanja kisiwe na mgogoro na mauzo yatafanyika kwa mtendaji na familia ya muuzaji watahusishwa/ au kiwe na hati.

5. Bei ya kiwanja isizidi mil 4.5
 
Muda Huu Mvua Nyingi Sana
Kila Sehemu Majaruba Tu Ya Maji
Naona Maeneo Ukitoka Makulu Kupandisha UDOM Kumeinuka Ndiyo Hakuna Maji
 
Muda Huu Mvua Nyingi Sana
Kila Sehemu Majaruba Tu Ya Maji
Naona Maeneo Ukitoka Makulu Kupandisha UDOM Kumeinuka Ndiyo Hakuna Maji
Hais zinafika huko, bei gani wka huko, kuna umbali gani na barabara ya lami
 
Utapata tabu sana kukipata kiwanja cha hivyo na kwa bei hiyo unayoitaka,Dodoma sasa hivi sio ile unayoijua wewe...
 
viwanja bei gani
Kuna Ambavyo Havijapimwa
Ila Eneo Ninalosema Vimepimwa
Ni Mpaka Niulize Kwa Wenyeji
Mimi Huwa Napita Njia Tu
Ila Kwa Kuwa Nia Unayo Bila Shaka Yoyote
Ukija Unapata
 
Haice tena mzee siku hizi kuna magari private unataka kukaa barabarani we Tangazo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom