Mungu wa mapenzi wa kihinduNakitafuta hicho kitabu mazee na je kimeandikwa na nani, mapenzi yatatuua mwaka huu maana huyu demu ni muarabu sasa nataka niipeperushe vyema bendera ya Tanzania.
Naipenda sana nchi yangu na siko tayari kuidhalilisha kwa namna yoyote ile hasa katika nyanja ya papuching.
Itakua machozi jasho na damu, hii nchi ya kiarabu ninayokwenda kupambana nayo jumaamosi papuchi nataka ifuke moshi kama uwimbombo na ulindi. Nataka nishone mpaka boxa ya bendera ya Tanzania, wapi kuna mafundi cherehani wazuri mazee au niende kuishonea VETA?
Viva Tanzania, Viva Bafetimbi. Nataka nifungue mwaka kivietnam sina masihara mpaka nipewe ubalozi wa Tanzania huko UAE(United Arab Emirates)
Msaada wa hicho kitabu tafadhali.
Naomba kuwasilisha,, MBAA MBAAA MBAAA(in makofi ya bunge's voice)
View attachment 2067114
Sio kufa TU,Utakuja kufa mkuu,,,, usipanie sana game
ngj nione kama naweza share document apa nikutumie ninacho
Shukrani sana kiongoziHicho hapo mkuuView attachment 2067220
Angalia asiwe mke WA MTU ukaishia kujitawaza na Gogo la mninga miksa futa la nazi
ataperfom vibaya Sana.
Tumnara twenyewe twa maana basi....hasa twa chips yai dakika mbili nyingi kanafeli kabla hata hakajaingia.
Nataka nipeperushe bendera
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Angalia asiwe mke WA MTU ukaishia kujitawaza na Gogo la mninga miksa futa la nazi