Jamani naombeni dawa
Ivi Kuna dawa yeyote au kinywaji chochote ambacho mtu akiwa ana kitumia ana piga kazi ma saa 24 bila kuchoka au kusikia usingizi ? Tofauti na bangi au madawa ya kulevya ?
Don't ask me why i want this just help me if you know



Jamani naombeni dawa
Ivi Kuna dawa yeyote au kinywaji chochote ambacho mtu akiwa ana kitumia ana piga kazi ma saa 24 bila kuchoka au kusikia usingizi ? Tofauti na bangi au madawa ya kulevya ?
Don't ask me why i want this just help me if you know
Kulala ni muhimu, utajiua na kazi itapata mtu mwingine wa kuifanya.Jamani naombeni dawa
Ivi Kuna dawa yeyote au kinywaji chochote ambacho mtu akiwa ana kitumia ana piga kazi ma saa 24 bila kuchoka au kusikia usingizi ? Tofauti na bangi au madawa ya kulevya ?
Don't ask me why i want this just help me if you know
Tafuna mang'ela hasa wale mang'ela ya Kisafwa macho mabayaJamani naombeni dawa
Ivi Kuna dawa yeyote au kinywaji chochote ambacho mtu akiwa ana kitumia ana piga kazi ma saa 24 bila kuchoka au kusikia usingizi ? Tofauti na bangi au madawa ya kulevya ?
Don't ask me why i want this just help me if you know