Acha kula vyakula vyenye sukari na vyenye wanga mwingi. Kula vyakula ambavyohavijawekewa chemicals nyingi, kunywa maji ya kutosha na fiber nyingi.Jamani naombeni dawa
Ivi Kuna dawa yeyote au kinywaji chochote ambacho mtu akiwa ana kitumia ana piga kazi ma saa 24 bila kuchoka au kusikia usingizi ? Tofauti na bangi au madawa ya kulevya ?
Don't ask me why i want this just help me if you know