Nahitaji kinywaji cha kuongeza nguvu

Nahitaji kinywaji cha kuongeza nguvu

muda ushakwenda, waachie na wenzako - duniani hapa maisha kupokezana ndugu.
 
Jamani naombeni dawa

Ivi Kuna dawa yeyote au kinywaji chochote ambacho mtu akiwa ana kitumia ana piga kazi ma saa 24 bila kuchoka au kusikia usingizi ? Tofauti na bangi au madawa ya kulevya ?

Don't ask me why i want this just help me if you know
mi nina mafuta ya kusisimua misuli.
 
Kule kwetu Masasi huwa tunatumia supu ya Upupu...unaweza tembea kwa mguu mpaka Msumbiji kwa masaa 20 bila kupumzika
 
bange ndio sahihi.......ila usingizi haukopeshwi....ni lazima uulipe tuuu....pambanaia unachokiamini....maisha ni safari.....
 
Hapo changanya caffeinated drinks.

Kahawa 2cups
Energy drink 1 (azam)
Cocacola 1
Chai yenye majani mengi isokuwa na sukar.

Angalizo; usiwe na historia ya kuwa na presha ya damu au pumu na matatzo mengine ya kifua.
 
Jamani naombeni dawa

Ivi Kuna dawa yeyote au kinywaji chochote ambacho mtu akiwa ana kitumia ana piga kazi ma saa 24 bila kuchoka au kusikia usingizi ? Tofauti na bangi au madawa ya kulevya ?

Don't ask me why i want this just help me if you know
Lszima tujue kama unania njema, isije ikawa umachinga sasa basi unataka vya madirishani na vijonsoni mkononi.
 
Fanya kazi kadiri ya uwezo wako Mkuu ukiona mwili umechoka pumzika.Mwili wenyewe uko automatic kuwa sasa nahitaji kupumzika kutokana na kazi iliyofanya,kutaka kujiOverWork kutafuta matatizo ambayo mwisho wa siku itabidi hiyo ziada ya pesa uliyopata kwa kujiOverwork uitumie kwwnye matibabu ya mwili.
Kanuni zinasema Input =Output
Au Garbage in = Garbage out
Wakiwa na maana kwamba utakachokula ndicho utakachotoa.
Sasa ww ndugu yangu unataka kula sanaa ili mwisho wa siku utoe haja kubwa nyingiii yaan unamuiga tembo kunya,kitakachofatia ni kupasuka msamba tu mana tumbo lako halina uwezo wa kubeba chakula kingi, na hata mkund* pia haujatengenezwa kutoa haja kubwa kiasi cha mfano wa tembo.
So kula kiasi kuny* kiasi kulinganga na saizi ya mwili yako,vivyo hivyo fanya kazi kiasi ambacho mwili unahimili ili kesho tena uendelee kufanya.

Wasaalaam
 
Jamani naombeni dawa

Ivi Kuna dawa yeyote au kinywaji chochote ambacho mtu akiwa ana kitumia ana piga kazi ma saa 24 bila kuchoka au kusikia usingizi ? Tofauti na bangi au madawa ya kulevya ?

Don't ask me why i want this just help me if you know
Mkuu mwili wa binadamu huwa unahitaji kupumzika baada ya kazi kama wewe hautataka kuupumzisha basi huwa na tabia ya kujipumzisha wenyewe hata kwa homa Kali tu .
 
Back
Top Bottom