onazi
Senior Member
- Apr 3, 2018
- 134
- 151
Mola akufanyie wepesi rafiki.Wapendwa naombeni connection za kazi.
Mola akufanyie wepesi rafiki.Wapendwa naombeni connection za kazi.
Vp hao waliosema uwatafte hawajakupa msaada wowote?Wapendwa naombeni connection za kazi.
Umeona sega school wanatafuta finance and admin offer ...jaribu hapoAmen[emoji120][emoji120]
Ulikuwa wafanya biashara gani?Habari,
Umri wangu ni miaka 28. Nimekuja kwenu kuomba ajira au mtu yoyote anayeweza kunisaidia kupata ajira.
• Jinsia: Ke
• Elimu: Bachelor Degree ya Commerce in finance (BCOM finance) pia nina Diploma in Finance and Banking.
• Ninapoishi: Dodoma
• Uzoefu wa kazi : Sijawahi kuajiriwa ila nimewahi kufanya field na kujitolea kwenye taasisi za kukopesha fedha.
Nilikuwa nimejiajiri mwenyewe(mjasiriamali), ila kuna matatizo nimeyapitia ya kifamilia yaliyopelekea kunidhoofisha kifedha hadi kuingia kwenye mtaji wa biashara.
Naomba yeyote anayeweza kunipa ajira kwenye office yake au hata anayeweza kunisaidia kupata ajira anisaidie. Nina hitaji sana ajira ili niweze kujikimu na kuendesha maisha yangu na wategemezi wangu.
Sifa za ziada
-Ninajua kutumia computer.
-Ninafahamu kutumia Microsoft word, excel na PowerPoint.
-Ninajua kutumia accouting software mbili (quickbooks na excel).
-Uwezo wangu katika lugha ya kingereza ni mzuri, ninaongea (90%), kusikia na kuelewa (100%), kusoma na kuandika kwa ufasaha (100%).
-Pia mimi ni mchapakazi na ni mwaminifu, mkinipa ajira hamtojutia uamuzi wenu.
Yeyote anayeweza kunisaidia ajira au hata ushauri naomba aniambie nitamfuata inbox.
Asanteni.
Mungu atakusaidia...Ujumbe umefika.Dar naweza kwenda kama nikipata uhakika wa fursa. Maana sina ndugu huko na kwa sasa sina hela za kujikimu wakati naendelea kufuatilia hizo fursa.
kwa hiyo wateja unao ishu ni mtaji?Duka la nywele za jumla na reja reja.
Na duka la bidhaa za kawaida.
njoo chemba unipe full data...i am interested.Ndio wateja ninao.
Ungependa ulipwe kiasiHabari,
Umri wangu ni miaka 28. Nimekuja kwenu kuomba ajira au mtu yoyote anayeweza kunisaidia kupata ajira.
• Jinsia: Ke
• Elimu: Bachelor Degree ya Commerce in finance (BCOM finance) pia nina Diploma in Finance and Banking.
• Ninapoishi: Dodoma
• Uzoefu wa kazi : Sijawahi kuajiriwa ila nimewahi kufanya field na kujitolea kwenye taasisi za kukopesha fedha.
Nilikuwa nimejiajiri mwenyewe(mjasiriamali), ila kuna matatizo nimeyapitia ya kifamilia yaliyopelekea kunidhoofisha kifedha hadi kuingia kwenye mtaji wa biashara.
Naomba yeyote anayeweza kunipa ajira kwenye office yake au hata anayeweza kunisaidia kupata ajira anisaidie. Nina hitaji sana ajira ili niweze kujikimu na kuendesha maisha yangu na wategemezi wangu.
Sifa za ziada
-Ninajua kutumia computer.
-Ninafahamu kutumia Microsoft word, excel na PowerPoint.
-Ninajua kutumia accouting software mbili (quickbooks na excel).
-Uwezo wangu katika lugha ya kingereza ni mzuri, ninaongea (90%), kusikia na kuelewa (100%), kusoma na kuandika kwa ufasaha (100%).
-Pia mimi ni mchapakazi na ni mwaminifu, mkinipa ajira hamtojutia uamuzi wenu.
Yeyote anayeweza kunisaidia ajira au hata ushauri naomba aniambie nitamfuata inbox.
Asanteni.
Acha kuendekeza njaa.naomba uwe mwenyeji wangu udom
Mbona una fani nyingi na nzuri tu kwa hapo dom tafta manguli wa hizo kazi jumuika naoMbali na fani za kusomea.
1.Ninajua kutengeneza cake , mikate, cookies. Sina cheti na sijasomea.
Dar naweza kwenda kama nikipata uhakika wa fursa. Maana sina ndugu huko na kwa sasa sina hela za kujikimu wakati naendelea kufuatilia hizo fursa.