Nahitaji kampuni nzuri ya bima kwaajili ya Bajaj

gwambali

JF-Expert Member
May 10, 2011
230
76
Habari ndugu zangu.

Kama nilivyoeleza hapo juu nataka kukatia bajaj yangu bima kubwa tatizo sijui ni kampuni gani ya uhakika ambao siyo wa babaishaji pale mteja wao anapopata tatizo lolote.

Naombeni ushauri wenu siangalii wanatoza % ya thamani ya bajaji bali uhakika wa kupewa stahili yangu pale itakapotokea shida yoyote iwe ajali au wizi.


Ahsanteni
 
Habari ndugu zangu.

Kama nilivyoeleza hapo juu nataka kukatia bajaj yangu bima kubwa tatizo sijui ni kampuni gani ya uhakika ambao siyo wa babaishaji pale mteja wao anapopata tatizo lolote.

Naombeni ushauri wenu siangalii wanatoza % ya thamani ya bajaji bali uhakika wa kupewa stahili yangu pale itakapotokea shida yoyote iwe ajali au wizi.


Ahsanteni
Mimi niko na jubilee mwaka wa tatu..wajaribu utaniambia!
 
Back
Top Bottom