Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,589
- 7,354
Uliweka ndani jambazi
Habari za jioni ndugu waumini wa kataa ndoa
Leo naleta kisa changu
Nivumiliwe ishu ya uandishi
Mimi ni kijana umri 34 nilibahatika kupata mwenzangu ambaye pia alikuwa mwajiliwa mimi nikiwa mfanya biashara mwaka 2017 akiwa ndo ajira mpya nikashoboka na mtoto kikaumana maisha yakanza
Tumeishi katika mahusiano ya mbali kama km 40 mpaka mwaka 2018 akahamia kituo cha karibu km 25
Maisha yakaendelea akapata mimba 2019 ambapo pia alifanikiwa kuhamia nilipo kabisa ambapo tayar nilikuwa nimeshajenga nyumba na kuhamia kwangu kutoka kuwa mpangaji
Maisha yakaendelea mimba ya kwanza ikaharibika mapambano yakaendelea
Mtoto wa kwanza kiume tukapata akafaitiwa na wa kike ambaye ndio wa mwisho
Kipindi chote hicho uchumi wangu ulikuwa kwenye pick sana
Maokoto ilikuwa yakutosha
Shetani huingia katikati ya safari ghafla mwaka 2022 nikashitakiwa baraza la kata
Nikaitwa nakuta amejaza fomu tuachane
Nikakubali nikasain bila kuwaza
Ile kitu ilimshtua sana mwenzangu na watu wa baraza
Palepale manake alimpigia simu mama yake mzazi
Kuwa amesain hata bila kusoma
Baraza likaamuru jambo liende mbele ambapo ni mahakamani
Nikaitwa mi na yeye
Hakimu baada ya kusikiliza maelezo ya mwanamke akatupilia mbali shauri mwanamke akashindwa
Baada ya hapo akarudi home analia na kuomba msamaha, baada ya muda nikasemehe maisha yakaendelea
Ila nilimwambia saiv unaomba msamaha kwa kuwa jambo lako limefel
Na alikiri kuwa mshaur wake mbaya ni mama yake mzazi, nilimuuliza mara mbili tatu unauhakika? Akajibu ndio nikaona basi kwakuwa amekiri
Nikurudishe nyuma kidogo msomaji
Tuhuma alizo toa ilikuwa kwamba sihudumii familia hivyo nimpe taraka
Tugawane mali
Ikapita hiyo
Tuendelee
Amani ikarejea kama mwanzo utulivu wa kutosha
Sekeseke likanza upya ghafla mwaka huu january
Ilianza tu nikimuingelesha haongei
Nikimtuma kitu haendi
Ghafla akasema anaenda mahakamani
Nikajibu sawa
Mahakama ya mwanzo kata nayoishi kule akagomewa
Akaenda ofisi ya kata nikaitwa nikaenda
Nikapewa mashtaka ya sihudumii familia
Nikayakana nikaeleza ukweli
Na ukweli ni kwamba mimi ndo nanunua vyakula na kuprovide mahitaji yote ya nyumbani
Mke wangu hata namba za luku hazijui
Lakin mtendaji alionekana kubase kwa mwanamke
Hivyo baadaye nikamua kuondoka
Siku ikafata nikaitwa polis
Akaleleza nikaeleza
Polis wakamshauri haya mambo mngekaa tu chini maana hakuna ishu ya maana
Hapa na imeshindwa kujibu maswali aliyokuuliza
Vyakula mnavyokula nani anatoa pesa?
Hujajibu
So polis wakampitezea
Wakati haya yote yanaendelea
Kashatoa taarifa nyumbani kwetu na kwao
Na kunichafua sana na akaaminika sana
Mwenzangu ana wazazi wote wawili
Mi wote wawili walishatangulia mbele za haki
Baba toka 2002 mama amefariki nikiwa chuo mwaka 2014
Lakin nimeishi sana kwa ndugu
Katika hili wote walikuwa uapnde wake
Ila nikaza sana na msimamo wangu
Ok
Ikatokea ghafla akaondoka nyumban siku 5 bila kuaga
Narud nakuta hayupo na simu hapatikani
Muda huo tayar nishagombana na ndugu zangu kuhusu kusikiliza upande mmoja
Hili lilienda sanjar na kwa wazazi wake
Kuwapanga vya uongo
Siku amerudi kafikia kwa jirani yangu na sio nyumban
Sikuona haja ya kumfatilia nikajua tayar huyu sio wangu
Huku na huki akatorosha watoto kupeleka kwao ngara huko
Karudi kafungua kesi
Leo imesomwa nikasomewa mashtaka
Dai lake
Sihudumii familia
Nimemfukuza
Namnyanyasa
Haya yote nikayakataa kwakuwa sio kweli
Kibaya sana nyuma yake kuna kundi la watu wanamjaza sana upepo hakim amemtaka jumatano afike na mashahid wake
Lengo au hitaji lake ni taraka na mgawanyo wa mali
Nimelia sana wiki hii mpaka basi kila nikiwaza lakini
Sijui mwisho wangu
Na isitoshe kwa sasa pia uchumi wangu umeshake kwa kiasi flani
Nasunir kuwaona mashahid siku husika
Sijajua nini kitatokea
Ila mungu asimame kwenye haki
Naichukia sana ndo kwa kweli
Japo sikuwahi funga naye kupata chet ila zile kimila tu manake mpaka mali nilitoa
Nakataa ndoa
Nakataa ndoa
Nakataa ndoa
Asanteni
Nakupigia mayooo jfcallPole sana kwa hili kaka, ila angalia kote ndoa zao ni kama yako? Then ukipata majibu kaa chini jiambie nilipita pabaya Mungu nisimamie nimalize hili maumivu yakiisha nipatie anayestahili
We mwanamke upo, umeadimika kweli. Aisee kwanza umemshauri na kumtia moyo. Asilazimishe huyo mwanamke kubaki, akubali ni anguko aanze upya. Kilicho chako huwa kinarudi haijalish ni wakati ganiTuna mikesi mingi ya ndoa, usipoteze muda huyo hakufai tena, ukiitwa mahakamani mwambie hakimu hutaki kupoteza muda talaka itoke haraka.
Mgawane hizo mali usiweke vikwazo, hizo mali ulizitafuta kwa mikono yako, zitarudi kwa mikono yako.
Hapo hakuna ndoa usipoteze muda. Hata mwaka hautaisha huyo mwanamke atarudi kukulilia.
Ogopa mtu ambae kitu kidogo anakimbilia mahakamani mgawane mali.
Kuchanganyikiwa kunakuja na stress. Ni mapito magumu sana kupoteza mali na familia at the same time. Mbaya zaid ni mtu ulimuamini uka muoa. Ni betrayal ya kiwango cha juu zaidiIla sisi wanawake saa nyingine tunatia aibu. Kwanini utamani jasho la mtu mwingine mpaka uvunje ndoa sababu hiyo? Kuna jamaa yangu wameishi na mke wake 30 years, alichotendwa na mwanamke hatasahau hadi anaenda kaburini. Sasa hivi ana 56 years hana hata mia ,karudi upareni huko. Watoto wako na mama yao hawana hata habari na baba. Nimekutana naye upareni juzi msibani, loh yaani hata hela ya kula shida.
Aliwahi kuchanganyikiwa kabisa akalazwa amana, sijui alipigwa kimbola. Ila ndoa inaweza kukuharibia maisha mazima
Watu wanasema hiyo ni ID yako, umefanya kukaziaSAFI SANA KATAA NDOA
SAFI SANA KATAA NDOA
SAFI SANA KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
NDOA NI UJAMBAZI
Wajanja tumesanuka mapema sana
Sasa mali gani bila ndoa mkuu? Nyie hamjafunga ndoa, huyo mama muachie kila kitu anza upya wewe ni mwanaume na umesema ana watoto wako...... achana na mambo ya mahakama utapoteza muda na mwisho ulogwe mpe icho anachotaka anza upya ila lea wanao” sisi wababa tunapitia mengi ila nilishamwambia mke wangu siku tumeahindwana sibebi kitu na sitaki chochote namuachia kila kitu.... mimi siwezi enda mahakamani nikadai mali yangu mwenyeweHabari za jioni ndugu waumini wa kataa ndoa
Leo naleta kisa changu
Nivumiliwe ishu ya uandishi
Mimi ni kijana umri 34 nilibahatika kupata mwenzangu ambaye pia alikuwa mwajiliwa mimi nikiwa mfanya biashara mwaka 2017 akiwa ndo ajira mpya nikashoboka na mtoto kikaumana maisha yakanza
Tumeishi katika mahusiano ya mbali kama km 40 mpaka mwaka 2018 akahamia kituo cha karibu km 25
Maisha yakaendelea akapata mimba 2019 ambapo pia alifanikiwa kuhamia nilipo kabisa ambapo tayar nilikuwa nimeshajenga nyumba na kuhamia kwangu kutoka kuwa mpangaji
Maisha yakaendelea mimba ya kwanza ikaharibika mapambano yakaendelea
Mtoto wa kwanza kiume tukapata akafaitiwa na wa kike ambaye ndio wa mwisho
Kipindi chote hicho uchumi wangu ulikuwa kwenye pick sana
Maokoto ilikuwa yakutosha
Shetani huingia katikati ya safari ghafla mwaka 2022 nikashitakiwa baraza la kata
Nikaitwa nakuta amejaza fomu tuachane
Nikakubali nikasain bila kuwaza
Ile kitu ilimshtua sana mwenzangu na watu wa baraza
Palepale manake alimpigia simu mama yake mzazi
Kuwa amesain hata bila kusoma
Baraza likaamuru jambo liende mbele ambapo ni mahakamani
Nikaitwa mi na yeye
Hakimu baada ya kusikiliza maelezo ya mwanamke akatupilia mbali shauri mwanamke akashindwa
Baada ya hapo akarudi home analia na kuomba msamaha, baada ya muda nikasemehe maisha yakaendelea
Ila nilimwambia saiv unaomba msamaha kwa kuwa jambo lako limefel
Na alikiri kuwa mshaur wake mbaya ni mama yake mzazi, nilimuuliza mara mbili tatu unauhakika? Akajibu ndio nikaona basi kwakuwa amekiri
Nikurudishe nyuma kidogo msomaji
Tuhuma alizo toa ilikuwa kwamba sihudumii familia hivyo nimpe taraka
Tugawane mali
Ikapita hiyo
Tuendelee
Amani ikarejea kama mwanzo utulivu wa kutosha
Sekeseke likanza upya ghafla mwaka huu january
Ilianza tu nikimuingelesha haongei
Nikimtuma kitu haendi
Ghafla akasema anaenda mahakamani
Nikajibu sawa
Mahakama ya mwanzo kata nayoishi kule akagomewa
Akaenda ofisi ya kata nikaitwa nikaenda
Nikapewa mashtaka ya sihudumii familia
Nikayakana nikaeleza ukweli
Na ukweli ni kwamba mimi ndo nanunua vyakula na kuprovide mahitaji yote ya nyumbani
Mke wangu hata namba za luku hazijui
Lakin mtendaji alionekana kubase kwa mwanamke
Hivyo baadaye nikamua kuondoka
Siku ikafata nikaitwa polis
Akaleleza nikaeleza
Polis wakamshauri haya mambo mngekaa tu chini maana hakuna ishu ya maana
Hapa na imeshindwa kujibu maswali aliyokuuliza
Vyakula mnavyokula nani anatoa pesa?
Hujajibu
So polis wakampitezea
Wakati haya yote yanaendelea
Kashatoa taarifa nyumbani kwetu na kwao
Na kunichafua sana na akaaminika sana
Mwenzangu ana wazazi wote wawili
Mi wote wawili walishatangulia mbele za haki
Baba toka 2002 mama amefariki nikiwa chuo mwaka 2014
Lakin nimeishi sana kwa ndugu
Katika hili wote walikuwa uapnde wake
Ila nikaza sana na msimamo wangu
Ok
Ikatokea ghafla akaondoka nyumban siku 5 bila kuaga
Narud nakuta hayupo na simu hapatikani
Muda huo tayar nishagombana na ndugu zangu kuhusu kusikiliza upande mmoja
Hili lilienda sanjar na kwa wazazi wake
Kuwapanga vya uongo
Siku amerudi kafikia kwa jirani yangu na sio nyumban
Sikuona haja ya kumfatilia nikajua tayar huyu sio wangu
Huku na huki akatorosha watoto kupeleka kwao ngara huko
Karudi kafungua kesi
Leo imesomwa nikasomewa mashtaka
Dai lake
Sihudumii familia
Nimemfukuza
Namnyanyasa
Haya yote nikayakataa kwakuwa sio kweli
Kibaya sana nyuma yake kuna kundi la watu wanamjaza sana upepo hakim amemtaka jumatano afike na mashahid wake
Lengo au hitaji lake ni taraka na mgawanyo wa mali
Nimelia sana wiki hii mpaka basi kila nikiwaza lakini
Sijui mwisho wangu
Na isitoshe kwa sasa pia uchumi wangu umeshake kwa kiasi flani
Nasunir kuwaona mashahid siku husika
Sijajua nini kitatokea
Ila mungu asimame kwenye haki
Naichukia sana ndo kwa kweli
Japo sikuwahi funga naye kupata chet ila zile kimila tu manake mpaka mali nilitoa
Nakataa ndoa
Nakataa ndoa
Nakataa ndoa
Asanteni
Si Hadi usiwe na akili,mwenye akili hawezi enda jela kisa mapenziTafuta bastora mpige kwenye mbususu umeamsikia mwenzako wa mbeya?
Mileage kwa Taasisi yetu Mpya ya Kataa ndoa iko so high yaani 120 kwenye kona shaaaaaa!!... Hongereni Kataa NdoaNakataa ndoa
Nakataa ndoa
Nakataa ndoa
Nipo nitaenda wapi mie, salama humu? mambo tu mengi kuchungulia huku kila siku isha kuwa ngumu, all in all jf is our homeWe mwanamke upo, umeadimika kweli. Aisee kwanza umemshauri na kumtia moyo. Asilazimishe huyo mwanamke kubaki, akubali ni anguko aanze upya. Kilicho chako huwa kinarudi haijalish ni wakati gani