Lina uchakavu..so andaa 4.5ml ungeweka chasis namba tungejua vizuri zaidi maana ingetupa information zaidi
du!tutaendelea kuomba lift hadi mtuchoke!!hivi unaufahamu mshahara wa mwalimu wa shule ya msingi!
Hiyo premio ni ya mwaka gani mkuu? reg namba zake na imetembea km ngapi, tafadhali nitumie mawasiliano yako na picha za gari inboxNna ka Toyota Premio kazuri ila nataka 6.5m...kama uko interested ni PM.
tutanunua tuuuuuuuuuuuuuu, tena ijumaa mm wa kwanza kwenda hapo maana naona roho zinawauma hamtaki maskini tuendeshe.......tutapangana wote kwenye foleni dsm ww na hama yako mm vitz yangu lakini twatembelea ------
tutanunua tuuuuuuuuuuuuuu, tena ijumaa mm wa kwanza kwenda hapo maana naona roho zinawauma hamtaki maskini tuendeshe.......tutapangana wote kwenye foleni dsm ww na hama yako mm vitz yangu lakini twatembelea ------
Wakuu nimezichanga mpaka zimefika milioni sita je naweza kupata gari aina gani kwa hiki kipesa changu?naomba wataalamu wa magari mnisaidie ushauri
kuna nissan primera from UK. ipo katika excellent condition for only 4.6Million
Bibie jitahidi basi uweke japo avatar watu wakosome, ona sasa unaitwa jibaba kumbe utamu wa dunia.Jamani me ni bibie lo!but never mind we ukifisha hiyo pesa nitafute nakuletea gari hadi mlangoni bila chai wala nini.kama upo dar mikoani kwa garama zako
Nivea please kama upo siriasi na kama hilo dili lipo ikiwa tayari ni-pm namba ya huyo mhindi naitaka hiyo gari.![]()
![]()
![]()
kuna mhindi mmja hapa mjini DSM anauza hili gari 8m,cc 2000,AUZ,4WD,NI YA 2007 RANGI YA DAMU YA MZEE,
4-CYLINDER sijajua limetembeza km ngapi atalileta badae ntakuambia na ntaweka picha halisi ila haijatumika sana si unajua wenzetu wahindi wanazunguka hapa hapa city centre akitoka sana amekwenda bagamoyo au sea cliff
Hongera mkuu karibu barabarani.Wakuu nimezichanga mpaka zimefika milioni sita je naweza kupata gari aina gani kwa hiki kipesa changu?naomba wataalamu wa magari mnisaidie ushauri
nafikiri kama upo hapa city centre nenda na wewe kaicheki itakuwa vizuri sana ,kwani wewe uko wap?Nivea please kama upo siriasi na kama hilo dili lipo ikiwa tayari ni-pm namba ya huyo mhindi naitaka hiyo gari.
Bongo lakini kwa sasa nipo kikazi Mji kasoro bahari.nafikiri kama upo hapa city centre nenda na wewe kaicheki itakuwa vizuri sana ,kwani wewe uko wap?
Ungenipa direction ninaweza kumuagiza mtu wangu aje kuliona.nafikiri kama upo hapa city centre nenda na wewe kaicheki itakuwa vizuri sana ,kwani wewe uko wap?
ngoja niwasiliane naye usitoke hewani nitakupmUngenipa direction ninaweza kumuagiza mtu wangu aje kuliona.
Ungenipa direction ninaweza kumuagiza mtu wangu aje kuliona.
Ooh sorry ngoja niangalie setting zangu.
grafani11 has chosen not to receive private messages or may not be allowed to receive private messages. Therefore you may not send your message to him/her.
If you are trying to send this message to multiple recipients, remove grafani11 from the recipient list and send the message again.
nikikupm napata huo ujumbe!!!
nakupa namba ya huyu office met wangu ambaye mimi ndio alikuja nambia ,wasiliana naye mtume mtu akaliangalie akupe taarifa sahihi then utanijulisha.yeye aliiona akaisifia sana,haya