Nahitaji gari

Nahitaji gari

tutanunua tuuuuuuuuuuuuuu, tena ijumaa mm wa kwanza kwenda hapo maana naona roho zinawauma hamtaki maskini tuendeshe.......tutapangana wote kwenye foleni dsm ww na hama yako mm vitz yangu lakini twatembelea ------
 
hilo vip kama umelipenda niambia nilitume hella utalipia huko dar ? kuna starlet pia imetumika kidogo unaweza kupiga namba hii 0784670633
 

Attachments

  • DSC04384.JPG
    DSC04384.JPG
    648.5 KB · Views: 140
  • DSC04383.JPG
    DSC04383.JPG
    672.4 KB · Views: 115
  • DSC04381.JPG
    DSC04381.JPG
    685.5 KB · Views: 101
  • DSC04380.JPG
    DSC04380.JPG
    759 KB · Views: 94
  • DSC04382.JPG
    DSC04382.JPG
    557.4 KB · Views: 92
Jamani me ni bibie lo!but never mind we ukifisha hiyo pesa nitafute nakuletea gari hadi mlangoni bila chai wala nini.kama upo dar mikoani kwa garama zako
Sahamani dada jeneneke, mimi ninahitaji truck Toyota Toyoace ya 2005 iwe na km 50,000 au pungufu, manual, cc 1900 au chini ya hapo, tani 1.5 utanicharge kiasi gani mpaka niipate?
 
Jamani me ni bibie lo!but never mind we ukifisha hiyo pesa nitafute nakuletea gari hadi mlangoni bila chai wala nini.kama upo dar mikoani kwa garama zako

Mpenzi, ndio ujasiriamali umeanza kimya kimya hata mmeo sijui?
 
Mpenzi, ndio ujasiriamali umeanza kimya kimya hata mmeo sijui?

Waooo!nimefurahi kukuona hapa ulipotelea wapi dady?Shauri zako utaibiwia.mwenzangu imebidi niongeze mambo ya kusubiri siku 30 ulipwe mshahara ambao hata chinga anaingiza within two days yananishinda.Naona Baba V yuko makini hadi amekulta cjui ulikuwa wapi yarabi
 
Last edited by a moderator:
Waooo!nimefurahi kukuona hapa ulipotelea wapi dady?Shauri zako utaibiwia.mwenzangu imebidi niongeze mambo ya kusubiri siku 30 ulipwe mshahara ambao hata chinga anaingiza within two days yananishinda.Naona Baba V yuko makini hadi amekulta cjui ulikuwa wapi yarabi

Thats gr8! Mwanamke shughuli hasa ukiipatia. Hebu niambie Carina not more than 1500cc, Volkswagen golf na vits ipi bei nzuri (the minimal price at excellent condition)
 
hahhaha my hub unataka folks vageni?nimefurahi i cana imagine unapita nayo katikati ya mji of course hiyo ndo price ya chini ukilinganisha na hayo mengine kama unataka na price countdown ntakupatia.unaona sasa huby ndo unatakiwa aunge mkono kuonyesha support .
 
Sahamani dada jeneneke, mimi ninahitaji truck Toyota Toyoace ya 2005 iwe na km 50,000 au pungufu, manual, cc 1900 au chini ya hapo, tani 1.5 utanicharge kiasi gani mpaka niipate?[/QUOe TE]

Give time georgeallen ntakujibu ila ukitaka canter right now ninayo in good condition
 
Last edited by a moderator:
mmmh!yaani 6m siku hizi inanunua bajaj tu!!!sitaki kuamini!
Zamaulid bajaji ni m 5.5 .. Gari dogo la cc chini ya 1000 andaa m 7.7- m8.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Zamaulid bajaji ni m 5.5 .. Gari dogo la cc chini ya 1000 andaa m 7.7- m8.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
du!tutaendelea kuomba lift hadi mtuchoke!!hivi unaufahamu mshahara wa mwalimu wa shule ya msingi!
 
Wakuu nimezichanga mpaka zimefika milioni sita je naweza kupata gari aina gani kwa hiki kipesa changu?naomba wataalamu wa magari mnisaidie ushauri

Nna ka Toyota Premio kazuri ila nataka 6.5m...kama uko interested ni PM.
 
ongeza 1.5m nikuuzie vitz nimeitoa bandarini leo iko sokoni. hiyo haina udalali. namba ya simu 0767761123 0715761123
 
Sahamani dada jeneneke, mimi ninahitaji truck Toyota Toyoace ya 2005 iwe na km 50,000 au pungufu, manual, cc 1900 au chini ya hapo, tani 1.5 utanicharge kiasi gani mpaka niipate?[/QUOe TE]

Give time georgeallen ntakujibu ila ukitaka canter right now ninayo in good condition
ina cc ngapi? hebu weka attributes/properties zake niisawiri
 
Ninampango wa kuuza gari yangu aina ya toyota caldina-GT ya mwaka 1997,4WD,cc 2,000 mwezi wa 7 mwaka huu.Iko katika hali nzuri kabisa.full kiyoyozi.kama utakuwa bado hujapata hadi muda huo tuwasiliane.Lengo la kuuza ni kubadili aina ya gari.
 
Back
Top Bottom