Nahitaji gari

Nahitaji gari

Yap kwa hela hiyo gari hawezi pata tuongee ukweli,kwa hyo hela bora utafute bajaji maana madalali watamletea mshipa mchuzi juuu tank kidumu cha lita tano rangi imepigwa ya kwenye nyumba.

jamani monday na nilipata habari kuna mjapani kafungua yad kwenye uwanja wa sukita (tabata matumbi) na kuna gari nyingi balaaa. bei yake sasa ndo utachoka. kwa kuziangalia utadhani hazina kodi, ila yeye anakuambia ishalipiwa kila kitu bandika insurance usepe. ukitaka kuhakiki, tra wapo hapo hapo

noah 8m ya 99
vits 4 to 5m za 98 ad 2000
ist 6 to 7m za 2002
mazda demio 3.5m ya 2003
corolla 6m
carina 7 to 8m haijalishi si au ti ila za 96 ad 98
jamaa wa yad za magomen ndio wakawa wananunua ad gari kumi na kuhamishia kwenye maduka yao.
kwa anaetaka kwenda,
ukitokea buguruni kwenda ubungo, exit ya mwisho kuingia kulia kabla ya daraja la matumbi
ukitokea ubungo na baada ya kuvuka daraja la matumbi, ingia exit ya pili mkono wa kushoto. nenda ad nyuma kbs kuna mnara wa simu
 
jamani monday na nilipata habari kuna mjapani kafungua yad kwenye uwanja wa sukita (tabata matumbi) na kuna gari nyingi balaaa. bei yake sasa ndo utachoka. kwa kuziangalia utadhani hazina kodi, ila yeye anakuambia ishalipiwa kila kitu bandika insurance usepe. ukitaka kuhakiki, tra wapo hapo hapo

noah 8m ya 99
vits 4 to 5m za 98 ad 2000
ist 6 to 7m za 2002
mazda demio 3.5m ya 2003
corolla 6m
carina 7 to 8m haijalishi si au ti ila za 96 ad 98
jamaa wa yad za magomen ndio wakawa wananunua ad gari kumi na kuhamishia kwenye maduka yao.
kwa anaetaka kwenda,
ukitokea buguruni kwenda ubungo, exit ya mwisho kuingia kulia kabla ya daraja la matumbi
ukitokea ubungo na baada ya kuvuka daraja la matumbi, ingia exit ya pili mkono wa kushoto. nenda ad nyuma kbs kuna mnara wa simu

hii yaweza kuwa habar njema kwangu, ngoja niicopy then niifanyie kazi....
 
Ata mimi nilitaka kukushauri kama huyu bwana jeneneke...ushuru na gharama za bandari..pamoja na clearing agent na chai kidogo ya mkaguzi pale bandarini ni kuanzia 3.6ml na kuendelea hivyo ongeza kidogo..

Wewe.. jeneneke sio bwana, ni bi tena kaolewa na Ronn M
 
Last edited by a moderator:
Wakuu nimezichanga mpaka zimefika milioni sita je naweza kupata gari aina gani kwa hiki kipesa changu?naomba wataalamu wa magari mnisaidie ushauri

Hapa kaka utakutana na watu wa aina mbalimbali, usishangae kuambiwa "hako ka milioni sita kako nunua pikipiki" utafikiri wao wanaendesha Audi Q7 au hata kijiprado kumbe hana hata hiyo bajaji anakutisha tu!!! Mi nakushauri kama una uwezo kiasi jivute uongeze 2 au 2.5M uagize mwenyewe Japan utapata gari ambayo haijaendeshwa bongo. Lakini kama mambo yanabana sana kuwa mvumilivu tafuta taratibu, watu wanauza magari kwa shida mbalimbali; si yote yanauzwa bei chee ni mambovu!!! Jamaa yangu alinunua RAV4 5DR kwa 6M!!!!!!....huwezi amin ile gari ilikuwa haijaguswa chochote isipokuwa mwenye nalo alipata vijisenti akawa anaongezea anunue gari kubwa zaidi!! Hiyo 6M unaweza kupata Premio imesimama vibaya mno. Tembelea hapa: http://www.facebook.com/groups/cardeals.tz/ kisha post tangazo lako la kutafuta gari kwa hiyo bei, specify aina za magari unayoyapenda, kama uko dar ni rahisi zaidi unaenda kukagua magari unayoyapenda ukiwa na fundi unayemwamini ukimtoa pesa kidogo tu anakusaidia kuthaminisha gari na kufanya test drive!!
 
Wakuu nimezichanga mpaka zimefika milioni sita je naweza kupata gari aina gani kwa hiki kipesa changu?naomba wataalamu wa magari mnisaidie ushauri

Ungekua na 7 ungepata nisan march mpya
 
jamani monday na nilipata habari kuna mjapani kafungua yad kwenye uwanja wa sukita (tabata matumbi) na kuna gari nyingi balaaa. bei yake sasa ndo utachoka. kwa kuziangalia utadhani hazina kodi, ila yeye anakuambia ishalipiwa kila kitu bandika insurance usepe. ukitaka kuhakiki, tra wapo hapo hapo

noah 8m ya 99
vits 4 to 5m za 98 ad 2000
ist 6 to 7m za 2002
mazda demio 3.5m ya 2003
corolla 6m
carina 7 to 8m haijalishi si au ti ila za 96 ad 98
jamaa wa yad za magomen ndio wakawa wananunua ad gari kumi na kuhamishia kwenye maduka yao.
kwa anaetaka kwenda,
ukitokea buguruni kwenda ubungo, exit ya mwisho kuingia kulia kabla ya daraja la matumbi
ukitokea ubungo na baada ya kuvuka daraja la matumbi, ingia exit ya pili mkono wa kushoto. nenda ad nyuma kbs kuna mnara wa simu

Mkuu hiyo Yard inaitwaje?
Asante.
 
jamani monday na nilipata habari kuna mjapani kafungua yad kwenye uwanja wa sukita (tabata matumbi) na kuna gari nyingi balaaa. bei yake sasa ndo utachoka. kwa kuziangalia utadhani hazina kodi, ila yeye anakuambia ishalipiwa kila kitu bandika insurance usepe. ukitaka kuhakiki, tra wapo hapo hapo

noah 8m ya 99
vits 4 to 5m za 98 ad 2000
ist 6 to 7m za 2002
mazda demio 3.5m ya 2003
corolla 6m
carina 7 to 8m haijalishi si au ti ila za 96 ad 98
jamaa wa yad za magomen ndio wakawa wananunua ad gari kumi na kuhamishia kwenye maduka yao.
kwa anaetaka kwenda,
ukitokea buguruni kwenda ubungo, exit ya mwisho kuingia kulia kabla ya daraja la matumbi
ukitokea ubungo na baada ya kuvuka daraja la matumbi, ingia exit ya pili mkono wa kushoto. nenda ad nyuma kbs kuna mnara wa simu

Mkuu pia kama unaweza kutuchekia mawasiliano yao (hata kusoma kwenye bango lao) emails namba za simu za huyo Mjapani mbona tutashukuru sana!
Heshima kwako.
 
Wakuu nimezichanga mpaka zimefika milioni sita je naweza kupata gari aina gani kwa hiki kipesa changu?naomba wataalamu wa magari mnisaidie ushauri

Hebu angalia kwenye listing ya zoom kuna Peugeot 206 ina mileage ndogo sana na well kept. Kama haijanunuliwa utapata gari nzuri sana
 
Wakuu nimezichanga mpaka zimefika milioni sita je naweza kupata gari aina gani kwa hiki kipesa changu?naomba wataalamu wa magari mnisaidie ushauri

Toyota Duet ipo kwa bei ya 5.5Million ........ipo katika hali nzuri kabisa kama waitaka wasiliana nami through 0689341445
 
jamani monday na nilipata habari kuna mjapani kafungua yad kwenye uwanja wa sukita (tabata matumbi) na kuna gari nyingi balaaa. bei yake sasa ndo utachoka. kwa kuziangalia utadhani hazina kodi, ila yeye anakuambia ishalipiwa kila kitu bandika insurance usepe. ukitaka kuhakiki, tra wapo hapo hapo

noah 8m ya 99
vits 4 to 5m za 98 ad 2000
ist 6 to 7m za 2002
mazda demio 3.5m ya 2003
corolla 6m
carina 7 to 8m haijalishi si au ti ila za 96 ad 98
jamaa wa yad za magomen ndio wakawa wananunua ad gari kumi na kuhamishia kwenye maduka yao.
kwa anaetaka kwenda,
ukitokea buguruni kwenda ubungo, exit ya mwisho kuingia kulia kabla ya daraja la matumbi
ukitokea ubungo na baada ya kuvuka daraja la matumbi, ingia exit ya pili mkono wa kushoto. nenda ad nyuma kbs kuna mnara wa simu

Asije akawa ameiba Japan wakaja lnterpool kutupa shida hapa
 
kuna nissan primera from UK. ipo katika excellent condition for only 4.6Million
 
Back
Top Bottom