Nahitaji gari

Nahitaji gari

Mimi ninayo baloon Mark II gx 90 unahitaji??Iko bomba white kama unataka pm NARE
 
Last edited by a moderator:
Naitaji Nissan X-trail nyeusi kuanzia 2003 kms zisizidi 120.000
 
tutanunua tuuuuuuuuuuuuuu, tena ijumaa mm wa kwanza kwenda hapo maana naona roho zinawauma hamtaki maskini tuendeshe.......tutapangana wote kwenye foleni dsm ww na hama yako mm vitz yangu lakini twatembelea ------

ndo maana yake wote tunaingia sheli, tra, hongo kwa trafk polis na garage........
 
Bibie jitahidi basi uweke japo avatar watu wakosome, ona sasa unaitwa jibaba kumbe utamu wa dunia.

hapana sifikirii kabisa kuweka avar grafani kwani haipunguzi wala kuongeza kitu ukizingatia kiachotuunganisha ni miandiko halafu pia waliokwisha niona wanamsifu Mungu kwa uumbaji kwa hiyo sioni sbb ya kuweka pre-meditate figure
 
Last edited by a moderator:
images
images
images

kuna mhindi mmja hapa mjini DSM anauza hili gari 8m,cc 2000,AUZ,4WD,NI YA 2007 RANGI YA DAMU YA MZEE,
4-CYLINDER sijajua limetembeza km ngapi atalileta badae ntakuambia na ntaweka picha halisi ila haijatumika sana si unajua wenzetu wahindi wanazunguka hapa hapa city centre akitoka sana amekwenda bagamoyo au sea cliff

OMG, This thing retails for around 45M katika show room za Bongo, sisi huwa tunaiagiza na kuiuza around 35M na 30M, yeye anaiuza 8M!! kama ni ya kuanzia 2004 ichukue fasta mimi ntakupa wewe 15M, kama hauna cash tuwasiliane, ingia PM fasta Mkuu!
 
nilikuwa nafuatilia mabandiko yenu nilihisi mwisho wake utakuwa hivi. Hilo gari kwa 8M mtu anakupa zawadi wala hakuuzii.
hizo ndio akili ndogo gari ipo ,wewe umekaririr watu wanauzia magari shida huyu mhindi amenunua harrier ,akaamua kuliuza na amekaa nalo kama 3yrs usikariri mkuu
 
hizo ndio akili ndogo gari ipo ,wewe umekaririr watu wanauzia magari shida huyu mhindi amenunua harrier ,akaamua kuliuza na amekaa nalo kama 3yrs usikariri mkuu
Mkuu msamehe tu, unajua watu wanaovamia jiji kwa pupa hununua kitu bei juu ili wajisifu wakati watoto wa mjini tumenunua Range Rover kwa staili hiyo hiyo na kwa bei ambayo wakuja na hela yake ya mazao hataamini.

Ni miaka mitatu sasa nipo na hiyo kitu haijawahi kuniingiza gereji zaidi ya kubadili Engine oil na lubricants nyingine muhimu. Mwache aendelee kununua Used Vitz kwa bei za Rav 4.
 
Wakuu nimezichanga mpaka zimefika milioni sita je naweza kupata gari aina gani kwa hiki kipesa changu?naomba wataalamu wa magari mnisaidie ushauri

Kama una Tsh 8 milioni ni pm nikupatie Toyota GX 100
 
hizo ndio akili ndogo gari ipo ,wewe umekaririr watu wanauzia magari shida huyu mhindi amenunua harrier ,akaamua kuliuza na amekaa nalo kama 3yrs usikariri mkuu

Sijakariri mkuu, nayafahamu magari na thamani zake. Ndo maana nikakwambia mtu akikuuzia gari hilo kwa bei ya milioni 8 amekupa zawadi sio amekuuzia. Milioni nane labda suzuki model ya mwaka 2002 kurudi nyuma.
 
Wakuu nimezichanga mpaka zimefika milioni sita je naweza kupata gari aina gani kwa hiki kipesa changu?naomba wataalamu wa magari mnisaidie ushauri

Ongeza 1.5 tukupatie carina TI ya 98
 
Wakuu nimezichanga mpaka zimefika milioni sita je naweza kupata gari aina gani kwa hiki kipesa changu?naomba wataalamu wa magari mnisaidie ushauri
Kama unaweza kuzichanga mpaka 8m, Nipm nikupe gari ya uhakika (Nimeitumia miezi sita).
Nissan Avenir 1.8cc, Petrol, Model 2005, imetembea kilometa 102,000... Namba T*** CDV
 
Kaka chukua benzi hyo hapo kwenye tangazo yangu, ongeza kiasi cha mmoja tu ni nzuri sana unaipenda
 
Back
Top Bottom