Ata mimi nilitaka kukushauri kama huyu bwana jeneneke...ushuru na gharama za bandari..pamoja na clearing agent na chai kidogo ya mkaguzi pale bandarini ni kuanzia 3.6ml na kuendelea hivyo ongeza kidogo..sasa hivi kila gari ushuru ni almost milioni nne so far magari ya bei ya chini standard mostly ni$2,200ambayo ni kama milioni 4 na point so far jitahidi upate milioni 2 ifike nane unawezakuwa na uhakika wa
kupata gari zuri from japan
Ata mimi nilitaka kukushauri kama huyu bwana jeneneke...ushuru na gharama za bandari..pamoja na clearing agent na chai kidogo ya mkaguzi pale bandarini ni kuanzia 3.6ml na kuendelea hivyo ongeza kidogo..
Mbona wajiita jeneneke jamani???sorryJamani me ni bibie lo!but never mind we ukifisha hiyo pesa nitafute nakuletea gari hadi mlangoni bila chai wala nini.kama upo dar mikoani kwa garama zako
mmmh!nitakutafuta!Jamani me ni bibie lo!but never mind we ukifisha hiyo pesa nitafute nakuletea gari hadi mlangoni bila chai wala nini.kama upo dar mikoani kwa garama zako
karibu sanammmh!nitakutafuta!
Lina uchakavu..so andaa 4.5ml ungeweka chasis namba tungejua vizuri zaidi maana ingetupa information zaidiNi kiasi gani cha chini kabisa nahitaji kuandaa, kuagiza TOYOTA CAMI 2000, KM chini ya 90,000 ya USD 3,500 .... kwa anayeza kunisaidia kukadiria gharama halisi isipokua BIMA tu!Msaada pia tafadhali ...
mmmh!yaani 6m siku hizi inanunua bajaj tu!!!sitaki kuamini!Mkuu nunua bajaj
aisss!una maanisha baiskel au pikipiki ndo usafiri na ndio anayoweza kupata kwa hiyo hela!!Kuna gari na Usafiri nadhani kwa hela hyo utapata usafiri tu.
aisss!una maanisha baiskel au pikipiki ndo usafiri na ndio anayoweza kupata kwa hiyo hela!!
ameshakwambia anataka gari, hiyo bajaj nunua wewe!!Mkuu nunua bajaj
ameshakwambia anataka gari, hiyo bajaj nunua wewe!!