Nahitaji gari kwa shilingi milioni 5 wakuu

Nahitaji gari kwa shilingi milioni 5 wakuu

AL-USTADH

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
406
Reaction score
226
Habari za majukumu wadau.

Natumai mu-wazima kabisa, kama mada husika inavyosema hapo juu naomba mwenye kuwa na gari ambayo ipo kwenye hali nzuri walau niweze kununua.

Si mbaya kama itakuwa haijachoka wakuu itakuwa vyema zaidi. Kama itapatikana either Forester, IST, ama WISH au yoyote itakayokuwa kwenye hali nzuri walau ila isiwe rangi nyeupe wakuu.

Natanguliza shukran kwenu.

AHSANTENI.

=====================================================================================================================

Whatsapp no. for pictures.

0719572217

AL-USTADH.
 
Habari za majukumu wadau.

Natumai mu-wazima kabisa, kama mada husika inavyosema hapo juu naomba mwenye kuwa na gari ambayo ipo kwenye hali nzuri walau niweze kununua.

Si mbaya kama itakuwa haijachoka wakuu itakuwa vyema zaidi. Kama itapatikana either Forester, IST, ama WISH au yoyote itakayokuwa kwenye hali nzuri walau ila isiwe rangi nyeupe wakuu.

Natanguliza shukran kwenu.

AHSANTENI.

Iko Escudo, hali nzuri sana 7m tu.
 
natafuta harrier lexus ya 2011 namba ianzie B...bajet yangu 12m
 
mh. hatujamsaidia kitu. natafuta Gari Toyota CAmi iwe kwenye hali nzuri. ofa yangu m.5
 
Kuna Oppa naitumia mwenyewe ipo Iringa incase ukiwa interested nicheki nikupe details zake na picha.
 
Njoo nikupe chaser kwa 4mil
unatia futa unaenda mwanza kula sato.
 
Habari za majukumu wadau.

Natumai mu-wazima kabisa, kama mada husika inavyosema hapo juu naomba mwenye kuwa na gari ambayo ipo kwenye hali nzuri walau niweze kununua.

Si mbaya kama itakuwa haijachoka wakuu itakuwa vyema zaidi. Kama itapatikana either Forester, IST, ama WISH au yoyote itakayokuwa kwenye hali nzuri walau ila isiwe rangi nyeupe wakuu.

Natanguliza shukran kwenu.

AHSANTENI.

IPO vits....kana hali nzuri tu.
 
thread imeingiliwa na virus...!
kila mtu kaja na tangazo llake ....
 
Habari za majukumu wadau.

Natumai mu-wazima kabisa, kama mada husika inavyosema hapo juu naomba mwenye kuwa na gari ambayo ipo kwenye hali nzuri walau niweze kununua.

Si mbaya kama itakuwa haijachoka wakuu itakuwa vyema zaidi. Kama itapatikana either Forester, IST, ama WISH au yoyote itakayokuwa kwenye hali nzuri walau ila isiwe rangi nyeupe wakuu.

Natanguliza shukran kwenu.

AHSANTENI.

forester kwa bei iyo itakuwa ni body la sivyo uwe na namba za mafundi wote hapa mjini
 
Back
Top Bottom