Nahitaji form six leaver aliyesomea PCB na yupo Dodoma haraka!!

Nahitaji form six leaver aliyesomea PCB na yupo Dodoma haraka!!

Investaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2015
Posts
913
Reaction score
923
Habari, nahitaji form six level aliyesoma PCB nataka nifanye nae kazi ya kufundisha masomo ya sayansi awe anatokea dodoma mjini .

Simu: 0755429928 / 0652247221
 
Habari, nahitaji form six level aliyesoma PCB nataka nifanye nae kazi ya kufundisha masomo ya sayansi awe anatokea dodoma mjini .

Simu: 0755429928 / 0652247221
Mimi nipo UDOM huku ila nilosoma PCM kama vipi nije kuwapiga PHYSICS na MATH.Niite nije kupiga mechanics mana ndio ugonjwa wa PCB unayemtaka.CV yangu ukiitaka nitakupa ila nilisoma azania 1 to 6.
 
Ujajiongeza tu ata kwa comments za watu wengine ukaona nn kinazungumziwa. Kweli sometym 2naishi nje ya malengo 2liyojiwekea...
Sidhani kama una point 4 kwa masomo mawili maana unaakili ndogo sana, alafu unataka ukafundishe watoto wa watu, eti form six level
 
Ualimu ni taaluma na sio kiwango cha elimu uliyofikia.Ndio maana kuna vyuo vya ualimu.Ningekuelewa vizuri ungesema unahitaji mwalimu wa masomo ya Sayansi mwenye elimu ya kidato cha sita.

Ni mtazamo wangu tu Mkuu!
 
Ualimu ni taaluma na sio kiwango cha elimu uliyofikia.Ndio maana kuna vyuo vya ualimu.Ningekuelewa vizuri ungesema unahitaji mwalimu wa masomo ya Sayansi mwenye elimu ya kidato cha sita.

Ni mtazamo wangu tu Mkuu!
Uko sahihi kaka
 
Mimi nipo UDOM huku ila nilosoma PCM kama vipi nije kuwapiga PHYSICS na MATH.Niite nije kupiga mechanics mana ndio ugonjwa wa PCB unayemtaka.CV yangu ukiitaka nitakupa ila nilisoma azania 1 to 6.
Mwaka wa ngap upo. Maana nataka mwalimu ambaye nitakuwa naye muda wote kwenye center.
 
pesa ipo lakini MTU MziMa hapa PCB physics nipo vizuri sana pamoja sana kama pesa IPO hata hayo masomo mengine pia Mimi ni competent
 
Habari, nahitaji form six level aliyesoma PCB nataka nifanye nae kazi ya kufundisha masomo ya sayansi awe anatokea dodoma mjini .

Simu: 0755429928 / 0652247221
Kwa nini usitafute mwalimu kabisa...aliyeenda kusoma diploma ya ualimu baada ya kumaliza form six? Nina hakika utampata pia.
 
Back
Top Bottom