Vodka
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 906
- 96
Kwakweli naumia
sana,nahitaji ushauri wenu ili niweze kufarijika na kujirekebisha pale
nilipo na makosa, NAOMBENI MNIPOKEE
nitafute utapata kila namna ya faraja.Karibu kinywaji kwanza.
Kwakweli naumia
sana,nahitaji ushauri wenu ili niweze kufarijika na kujirekebisha pale
nilipo na makosa, NAOMBENI MNIPOKEE
Kwanza na kupokea karibu kwa mikono yote mitatu ohoo sorry miwili watatu achana nao!+la ningependa kujua nini kinakutatiza mpaka ukachukua uamuzi wakujiunga na JF hata kwa kuni PM karibu