Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,027
...
Asante sana japo ananivunja moyo sana ila mapenzi ya dhati ninayo kwake.Mhhh pole but hakuna mahusiano yaliyo fanikiwa bila kupitia ups and downs ni swala la mda tu ajira zipo mda ukifika utaajiriwa kikubwa mvumilie tu mwoneshe upendo wa kweli mjali Mambo yataenda vzuri tu..... Happy nyu year in advance
Nashukuru sana kwa nasaha zako, Ila najua milango itafunguka japo sikupenda ifunguke yeye akiwa nje nilitaka wote tuingie ndani.Pole sana mkuu, sijui unataka dalili gani nyingine ya kukuonyesha kuwa hapo ulipo sipo!!!
Mapenzi ya dhati ukiwa hauna kitu yamebakia kuwa historia tu, and hope unalielewa hilo.
Hivi mtu alokunyanyasa kiasi hicho bado unafikiria kumvisha pete!! Okey unataka umuoe wakati hauna kitu ili ugundue nini kipya? Utaweza kuyavumilia masimango yake mkiwa tayari ndoani?
Huyo ana shida na "harusi" sio ndoa, mwenye utayari na ndoa hawi hivyo ulivyo mdescribe.
NB: kudate na mwanaume asie na kitu ni kipaji, na wamejaaliwa wachache sio wote.

Usijali we mpende kwa moyo wote love is above all....Asante sana japo ananivunja moyo sana ila mapenzi ya dhati ninayo kwake.
Nashukuru sana napigana kila leo niweze kupata ajira ili nionekane mtu kwake.Daaah pole sana mkuu kwa mapito unayopitia
jaribu ku focus kwenye juhud za kupat kazi hata kama ni ndgo kimshahara kua na malengo
kama Mungu amekupangia uwe nae itakua hivyo
Mwenyez Mungu akufanyie wepesi
Sawa asante nitajaribu pia.Pole kuna uzi mmoja niliona humu jamaa kaambiwa awe anaenda bar anaagiza maji anakunywa huku anacheza hata kama wimbo ni mbaya au mzuri yeye acheze tu Moyo utatulia.
Huwa naona ni vigumu kufanya maamuzi hayo kwake maana hata kama nikiyafanya hawezi hata kuumia hata robo ya maumivu yangu, ninahisi kama nitajitesa sana kuliko sasa.Dah hakuna kitu ninachokichukia kwenye mapenzi kama dharau hata mwanamke awe mzuri vipi akionesha kunidharau huwa sirembi ni kumpiga chini tu. Wewe jamaa kama unataka faraja ni kumuacha tu hiyo ndiyo faraja yako ingawa ni ngumu kumuacha, lakini jitahidi. Njia ya kumuacha bila yeye kukuchukia ni kumuacha kimya kimya, hakuna kumtafuta mpaka akutafute mwenyewe, akikutafuta ongea na kuchat nae vizuri tu akikuuliza baby mbona umebadilika siku hizi? Hiyo nafasi ndiyo utaitumia kumpa za uso!
Sasa unampa pole ya nini? Hajanyanyaswa anajinyanyasa...Pole sana mkuu, sijui unataka dalili gani nyingine ya kukuonyesha kuwa hapo ulipo sipo!!!
Mapenzi ya dhati ukiwa hauna kitu yamebakia kuwa historia tu, and hope unalielewa hilo.
Hivi mtu alokunyanyasa kiasi hicho bado unafikiria kumvisha pete!! Okey unataka umuoe wakati hauna kitu ili ugundue nini kipya? Utaweza kuyavumilia masimango yake mkiwa tayari ndoani?
Huyo ana shida na "harusi" sio ndoa, mwenye utayari na ndoa hawi hivyo ulivyo mdescribe.
NB: kudate na mwanaume asie na kitu ni kipaji, na wamejaaliwa wachache sio wote.
Basi omba ifunguke yeye akiwa ndani.Nashukuru sana kwa nasaha zako, Ila najua milango itafunguka japo sikupenda ifunguke yeye akiwa nje nilitaka wote tuingie ndani.![]()
![]()
![]()
![]()
FactDah hakuna kitu ninachokichukia kwenye mapenzi kama dharau hata mwanamke awe mzuri vipi akionesha kunidharau huwa sirembi ni kumpiga chini tu. Wewe jamaa kama unataka faraja ni kumuacha tu hiyo ndiyo faraja yako ingawa ni ngumu kumuacha, lakini jitahidi. Njia ya kumuacha bila yeye kukuchukia ni kumuacha kimya kimya, hakuna kumtafuta mpaka akutafute mwenyewe, akikutafuta ongea na kuchat nae vizuri tu akikuuliza baby mbona umebadilika siku hizi? Hiyo nafasi ndiyo utaitumia kumpa za uso!
Nampa pole kwa upofu alio nao.Sasa unampa pole ya nini? Hajanyanyaswa anajinyanyasa...
Shoga zake wamekwishaolewa.. na mwanamke hawezi kuishi bila kuangalia wenzake wamempiku au amewapiku.
Kama hauna chochote Mwanamke atakayekuvumilia ni yule tu anayekupenda kuliko unavyompenda wewe.
Usijiingize kwenye mahusiano kwenye hali hiyo utaishia kukonda kwa hali mbaya na stress za mwanamke.
Huwa naona ni vigumu kufanya maamuzi hayo kwake maana hata kama nikiyafanya hawezi hata kuumia hata robo ya maumivu yangu, ninahisi kama nitajitesa sana kuliko sasa.