Kwa bei hiyo hupati.kiwe chumba na choo ndani chenye nafasi ya kutosha, bei kuanzia 70000-80000 kulingana na chumba
nitafute kwa namba hii 0622544644
Acha kukatisha tamaa wenzio wewe,kama wewe huwezipata wenzio wanapata!Kwa bei hiyo hupati.
Sio nakatisha mtu tamaa namuambia ukweli, Master gani anapata kwa 80,000 maeneo hayo, kwa bei hiyo atafute chumba cha kawaida na sio master,Acha kukatisha tamaa wenzio wewe,kama wewe huwezipata wenzio wanapata!
Sio nakatisha mtu tamaa namuambia ukweli, Master gani anapata kwa 80,000 maeneo hayo, kwa bei hiyo atafute chumba cha kawaida na sio master,
Hayo maeneo angalau 140K kwenda juu kwa master, ndio hata naweza kukuambia uje ucheki chumba, Mtu akikuambia njoo uchek master ya chini ya hapo anakupotezea mda.Kwahiyo master kwa maeneo hayo zinaanzia ngapi, yaani at leat mtu awe na bajeti inayocheza mwenye ngapi (master standard)
Hayo maeneo angalau 140K kwenda juu kwa master, ndio hata naweza kukuambia uje ucheki chumba, Mtu akikuambia njoo uchek master ya chini ya hapo anakupotezea mda.Kwahiyo master kwa maeneo hayo zinaanzia ngapi, yaani at leat mtu awe na bajeti inayocheza mwenye ngapi (master standard)
Sh ngapi mkuu????Riverside kipo.
Master bedroom+ seating room
Dakika 3 kutoka stand/lami
200kSh ngapi mkuu????
Kuna distance gani mpaka kufika kituo cha daladala?Mimi ninayo Riverside bei Tsh70,000
Dooh, nahitaji room 1 ya kuanzia, thank you lknRiverside kipo.
Master bedroom+ seating room
Dakika 3 kutoka stand/lami
Mabibo hostel vipiDooh, nahitaji room 1 ya kuanzia, thank you lkn
Ngoja nikucheki pm mkuuMabibo hostel vipi
Mita 150 = Dakika 5Mita 150 kwa kutembea ni kama dakika tano tu.
Okay, ila nahitaji zaidi maeneo ya External,Tabata Mwananchi hivi ,urahisi Wa kufika buguruni. Thank you lakini mkuuMita 150 kwa kutembea ni kama dakika tano tu.