Ukishafikia maamuzi ya aina gani ya chainsawa unataka basi usisite kubonyeza hii menyu *149*46*30# kwenda voda,tigo na airtel bure ili NIAGIZEDAR tukakununulie iyo chainsawa kule kwa wahindi then tuisafirishe hadi mkoani kwako.Nataka niingie poli kupigisha kazi. Bajeti yangu ni mil 1.5. Msaada wenu wa mawazo wakuu. Nichukue chain saw aina gan ambayo ni strong kwa bajet yangu hiyo?
nimekuelewa mkuu. hiyo husqvarna haina copy yake kweli? og yake nitaijuaje maana hapa naagiza sifati mwenyeweMkuu budget yako ndogo sana hutapata chainsaw kwa heavyduty and durable.
Kibongo bongo chainsaw zinazokubalika ni HUSQVARNA 272 series made in BRAZIL. Rangi ya machungwa. Spare zake zinapatikana kwa wingi sana.
Hiyo bei yake imesimama si chini ya Tsh 1,850,000 hadi 2M.
Asikudanganye mtu ukanunua mashine nyingine nje ya hiyo utapata tabu sana na ni kama utakuwa umechezea hela yako.
Husqvarna 272 kwama mdau alivyopendekeza hapo juu. bei gan?Ukishafikia maamuzi ya aina gani ya chainsawa unataka basi usisite kubonyeza hii menyu *149*46*30# kwenda voda,tigo na airtel bure ili NIAGIZEDAR tukakununulie iyo chainsawa kule kwa wahindi then tuisafirishe hadi mkoani kwako.
Karibu sana boss wangu.
0745645035
Nitakuletea jibu boss nikienda dukani kujua bei yake.Husqvarna 272 kwama mdau alivyopendekeza hapo juu. bei gan?
Copy ipo mkuu. Mara nyingi famba rangi yake inakuwa "machungwa inayoelekea kwenye wekundu" ni mchina au italy lakini og inakuwa machungwa mpauko kitu cha mbrazil.nimekuelewa mkuu. hiyo husqvarna haina copy yake kweli? og yake nitaijuaje maana hapa naagiza sifati mwenyewe
Nitafute nikuuzie mashine Mkuu.Nataka niingie poli kupigisha kazi. Bajeti yangu ni mil 1.5. Msaada wenu wa mawazo wakuu. Nichukue chain saw aina gan ambayo ni strong kwa bajet yangu hiyo?