Nahitaji attention yako Ila sio wewe

Nahitaji attention yako Ila sio wewe

Ndio hivyo kaka... Enery cant be created nor destroyed it is merely transfered from one form to another. So mwanamke wakati u ampigia magoti yeye ndio mwenyewe positive energy.... Ukimgegeda ile lositive energy inahamia kwako. Simple as that
Hii equations kali
 
That is me

Kuna binti mmoja anataka tuwe marafiki na tuwe na mawasiliano ya karibu lakini hayupo tayari tuwe wapenzi

Sijui ndio mambo ya friendzone hayo
Huu ujinga mi suupendi Mambo ya kuwa friend sitaki kuyasikia, tunakulana Huku Mambo mengine yanaendelea, Ila kila ukikausha unaona mtoto ana Moto WA kukutafutaa
 
Back
Top Bottom