Manifestation
Senior Member
- Jan 22, 2020
- 193
- 315
Kwenye maisha kuna watu wanaweza kuwafanya wenzao kuumia kihisia sana, hivi inakuwaje MTU anakuwa anataka kuwasiliana na wewe ukimhitaji hataki anaruka Mita Mia, ukimkaushia anakasirika ukimwambia Mimi siwezi kuwa rafiki yako haelewi, ukimleta karibu kwa ajili ya kuweza kufanya Mambo ya kikubwa anaruka, anatamani ofa zako umtoe out, umnunulie kitu kizuri, umtafute mara Kwa mara, ukikata mawasiliano anakufuatilia kupitia rafiki zako