Nahitaji attention yako Ila sio wewe

Manifestation

Senior Member
Jan 22, 2020
193
315
Kwenye maisha kuna watu wanaweza kuwafanya wenzao kuumia kihisia sana, hivi inakuwaje MTU anakuwa anataka kuwasiliana na wewe ukimhitaji hataki anaruka Mita Mia, ukimkaushia anakasirika ukimwambia Mimi siwezi kuwa rafiki yako haelewi, ukimleta karibu kwa ajili ya kuweza kufanya Mambo ya kikubwa anaruka, anatamani ofa zako umtoe out, umnunulie kitu kizuri, umtafute mara Kwa mara, ukikata mawasiliano anakufuatilia kupitia rafiki zako
 
Kwenye maisha kuna watu wanaweza kuwafanya wenzao kuumia kihisia sana, hivi inakuwaje MTU anakuwa anataka kuwasiliana na wewe ukimhitaji hataki anaruka Mita Mia, ukimkaushia anakasirika ukimwambia Mimi siwezi kuwa rafiki yako haelewi, ukimleta karibu kwa ajili ya kuweza kufanya Mambo ya kikubwa anaruka, anatamani ofa zako umtoe out, umnunulie kitu kizuri, umtafute mara Kwa mara, ukikata mawasiliano anakufuatilia kupitia rafiki zako
Pengine inawezekana namna unavyomuanza kwenda kufanya hayo mambo ya kikubwa pia ni tatizo
 
Kwenye maisha kuna watu wanaweza kuwafanya wenzao kuumia kihisia sana, hivi inakuwaje MTU anakuwa anataka kuwasiliana na wewe ukimhitaji hataki anaruka Mita Mia, ukimkaushia anakasirika ukimwambia Mimi siwezi kuwa rafiki yako haelewi, ukimleta karibu kwa ajili ya kuweza kufanya Mambo ya kikubwa anaruka, anatamani ofa zako umtoe out, umnunulie kitu kizuri, umtafute mara Kwa mara, ukikata mawasiliano anakufuatilia kupitia rafiki zako
That is me

Kuna binti mmoja anataka tuwe marafiki na tuwe na mawasiliano ya karibu lakini hayupo tayari tuwe wapenzi

Sijui ndio mambo ya friendzone hayo
 
Wee utapigaje daily sasa.... Jinsi ilivyo unapiga magoti kumgegeda mara ya kwanza baanda ya hapo yeye ndio anapiga magoti.
Hiyo dailee namaanisha kila ukihitaji...So kama umemkubali sana kila ukihitaji unapiga magoti sio.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom