Manifestation
Senior Member
- Jan 22, 2020
- 193
- 323
- Thread starter
- #21
Thanks Mkuu, nitazngatiaAchana na hao dramma queens
Thanks Mkuu, nitazngatiaAchana na hao dramma queens
Hahahahah SawaUnampigia magoti mwanzoni tuu. Akishwagegedwa hana jipya tena unaanza tafuta mrembo mwengine. Ila huyu akiendelea kuleta papuchi unaigegeda tuu maana hana ujanja tena.
Wanawake wengine wanachelewa kumwelewa mtuKwani wewe haujui maana ya kuwekwa friendzoned?
Mwanamke akikupenda atafanya juu chini akupe mzigo kiroho safi.
Huyo mwanamke hakutaki sema anakutumia emotionally for validation.
kama ni fundi kiwango cha dunia je, ukatamani gemu tenaUnampigia magoti mwanzoni tuu. Akishwagegedwa hana jipya tena unaanza tafuta mrembo mwengine. Ila huyu akiendelea kuleta papuchi unaigegeda tuu maana hana ujanja tena.
Embu pitia uzi wa kula tunda kimasihara usiache hata nukta.
Wee bwana ukishagegeda demu power inakija kwako mwanaume... Ujue mara ya pili itakuwa rahisi unless wee ulivurunda sanaaa kwenye kumgegeda hiyo mara ya kwanzakama ni fundi kiwango cha dunia je, ukatamani gemu tena
sawa vizuri😊😊😁Wee bwana ukishagegeda demu power inakija kwako mwanaume... Ujue mara ya pili itakuwa rahisi unless wee ulivurunda sanaaa kwenye kumgegeda hiyo mara ya kwanza
sawa vizuri😊😊😁
Yaa ni same but kwenye platonic both mnakuwa connected spiritualy with no physical sexual activity envolve ukija kwa friend zone mnakuwa na relationship romantic but one person anakuwa anataka sex (huyu namuita host) but huyo mwenza wake (parasite) anakuwa hataki sex , soo kama ulivyoona mmoja wapo ndo anakuwa ana faidika yule parasite.(mwanamke).Ni sawa na plutonic relationship ?
Maana yake nini ndugu mtaalamuHiyo situation sisi wataalamu tunaita "friendzone".
Sent From Galaxy S9
Umenichanganya mkuuYaa ni same but kwenye platonic both mnakuwa connected spiritualy with no physical sexual activity envolve ukija kwa friend zone mnakuwa na relationship romantic but one person anakuwa anataka sex (huyu namuita host) but huyo mwenza wake (parasite) anakuwa hataki sex , soo kama ulivyoona mmoja wapo ndo anakuwa ana faidika yule parasite.(mwanamke).
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani manzi anamuona mshkaji kama rafiki tu. Anaweza hata akavaa nguo mbele yake na mwana asimfanye chochote .Maana yake nini ndugu mtaalamu
Kwa kifupi ni kuwa ,chukulia mfano umemtongoz mwanamke akaweka ukaribu na wewe kisha ukawa unajitolea kweli,na outings za kutosha ,kuchati romantic kila siku ila ukimwita uje ule k haji au ukimshtukiza anakupa visingizio na atafanya juu chini usile tunda.Umenichanganya mkuu
Ebu elezea tena vizuri
Mmmmh mimi nitapata kesi ya ubakaji hapoYani manzi anamuona mshkaji kama rafiki tu. Anaweza hata akavaa nguo mbele yake na mwana asimfanye chochote .
Sent From Galaxy S9
UnderstoodKwa kifupi ni kuwa ,chukulia mfano umemtongoz mwanamke akaweka ukaribu na wewe kisha ukawa unajitolea kweli,na outings za kutosha ,kuchati romantic kila siku ila ukimwita uje ule k haji au ukimshtukiza anakupa visingizio na atafanya juu chini usile tunda.
Happ unajikuta unaona bora ulate mawasiliano ,kitendo cha kukata mawasiliano tu anakutafuta tena kwa spidi ya ajabu ukisema umrudie kwa kuwa unampenda mambo yananda kuwa yale yale .
Unabaki, kabisa unakuwa mzamiajikama ni fundi kiwango cha dunia je, ukatamani gemu tena
Hii Hali imenikera sana, ukikata mawasiliano anakuganda kweli, ukijisogeza anajiweka mbaliKwa kifupi ni kuwa ,chukulia mfano umemtongoz mwanamke akaweka ukaribu na wewe kisha ukawa unajitolea kweli,na outings za kutosha ,kuchati romantic kila siku ila ukimwita uje ule k haji au ukimshtukiza anakupa visingizio na atafanya juu chini usile tunda.
Happ unajikuta unaona bora ulate mawasiliano ,kitendo cha kukata mawasiliano tu anakutafuta tena kwa spidi ya ajabu ukisema umrudie kwa kuwa unampenda mambo yananda kuwa yale yale .