Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,686
Nahisi na tabia za kike katika mapenz naomba nieleweke wanajamii!!
1.Napenda sana kusifiwa kama umependeza au hakuna mwanaume mzuri kama wewe Duniani.
2.Napenda sana kufarijiwa/kujaliwa mfano kupewa pole hata kama kazi niliyo fanya ni ndogo.
3.Napenda sana kubembelezwa kila wakati kwakifupi napenda kudeka sanaaa..
4.Napenda sana kupewa za wadi hata ya pipi nitalizika.
5.Napenda sana Kukumbatiwa kila niwapo na mpenzi wangu.
Mi nilifikiri unapenda kurembua macho, kujipaka mapowder, unapenda kulegeza sauti, kurusha mikono wakati unatembea..... Hapo ingebidi upate tiba.
Bado Sheria haija pitishwa..
Vipi hujawahi tamani kugongwa!?
Maumivu ya kichwa huanza polepole.....
Elezea kidogo historia ya makuzi yako msaada unaweza kuwa mkubwa zaidi,kama hutojari zungumzia mko wangapi kwenu, wewe ni mtoto wangapi kuzaliwa,je umeishi sana na mzazi yupi au mlezi yupi (wa kike au wa kiume) na mengine utakayopenda kushare nasi ili tujue tunasaidia mtu wa aina gani mkuu....vinginevyo ni hali ya kawaida kabisa ambayo unaweza kuicontrol good enough unajitambua kiongozi.
Nahisi na tabia za kike katika mapenz naomba nieleweke wanajamii!!
1.Napenda sana kusifiwa kama umependeza au hakuna mwanaume mzuri kama wewe Duniani.
2.Napenda sana kufarijiwa/kujaliwa mfano kupewa pole hata kama kazi niliyo fanya ni ndogo.
3.Napenda sana kubembelezwa kila wakati kwakifupi napenda kudeka sanaaa..
4.Napenda sana kupewa za wadi hata ya pipi nitalizika.
5.Napenda sana Kukumbatiwa kila niwapo na mpenzi wangu.
Nahisi na tabia za kike katika mapenz naomba nieleweke wanajamii!!
1.Napenda sana kusifiwa kama umependeza au hakuna mwanaume mzuri kama wewe Duniani.
2.Napenda sana kufarijiwa/kujaliwa mfano kupewa pole hata kama kazi niliyo fanya ni ndogo.
3.Napenda sana kubembelezwa kila wakati kwakifupi napenda kudeka sanaaa..
4.Napenda sana kupewa za wadi hata ya pipi nitalizika.
5.Napenda sana Kukumbatiwa kila niwapo na mpenzi wangu.
Nahisi na tabia za kike katika mapenz naomba nieleweke wanajamii!!
1.Napenda sana kusifiwa kama umependeza au hakuna mwanaume mzuri kama wewe Duniani.
2.Napenda sana kufarijiwa/kujaliwa mfano kupewa pole hata kama kazi niliyo fanya ni ndogo.
3.Napenda sana kubembelezwa kila wakati kwakifupi napenda kudeka sanaaa..
4.Napenda sana kupewa za wadi hata ya pipi nitalizika.
5.Napenda sana Kukumbatiwa kila niwapo na mpenzi wangu.
,Nafikiri KY nd mwake zaidi au vp???
Ringopet,
1.kwanza hongera sana una jina zuri....Ringopet....nadhani jina lako ni zuri kuliko wanaume wote humu ndani!
2.nikupe pole sana kwa kuandika thread hii,utakuwa umechoka sana,maana umeweka pointi nyiingi kweli..5!poleeee
3.eti ringopet,utanijibu hii posti yangu...nijibu pleaseeeeeee,nijibu basi mbona unaona aibu unatizama chini...nijibu
4.nina kazawadi kako kukupongeza kwa kuwa na hulka za kike...sio kubwa ni pipi ivori
5.hii namba 5 inamuhusu Boflo....ndio maana amekuwa mwanaume pekee kui-like post yako
all the best huko unakoelekea!nasikia mna vyama vyenu kabisa
Naishi Tandika Magulewe namba yangu ni 0713800883 njoo na Mafuta mgando nikutengenezee Dawa serious au ni PM nikusaidie as nshawasaidia wengi na wamepata nafuu wakija home huja KUNISALIMIA tu!
Ringopet,
1.kwanza hongera sana una jina zuri....Ringopet....nadhani jina lako ni zuri kuliko wanaume wote humu ndani!
2.nikupe pole sana kwa kuandika thread hii,utakuwa umechoka sana,maana umeweka pointi nyiingi kweli..5!poleeee
3.eti ringopet,utanijibu hii posti yangu...nijibu pleaseeeeeee,nijibu basi mbona unaona aibu unatizama chini...nijibu
4.nina kazawadi kako kukupongeza kwa kuwa na hulka za kike...sio kubwa ni pipi ivori
5.hii namba 5 inamuhusu Boflo....ndio maana amekuwa mwanaume pekee kui-like post yako
all the best huko unakoelekea!nasikia mna vyama vyenu kabisa
Ni PM No yako ya simu tupange meeting nikuoneshe Namna gan unatakiwa ku behave.nataka kubadilka bt naona kama nashindwa nipe njia za kubadilika..