Nahisi na tabia za kike katika mapenz naomba nieleweke wanajamii!!
1.Napenda sana kusifiwa kama umependeza au hakuna mwanaume mzuri kama wewe Duniani.
2.Napenda sana kufarijiwa/kujaliwa mfano kupewa pole hata kama kazi niliyo fanya ni ndogo.
3.Napenda sana kubembelezwa kila wakati kwakifupi napenda kudeka sanaaa..
4.Napenda sana kupewa za wadi hata ya pipi nitalizika.
5.Napenda sana Kukumbatiwa kila niwapo na mpenzi wangu.
Subiri kuolewa basi.
vp mkuu unazo!?Khaaaaaaaa..! kumbe hizo tabia ni za kisichana sichana.
ulikuwa kwenye mawazo yangu my dear. hilo ndo lilikuwa haswa swali nataka kumuulizaAliyekwambia hizo ni tabia za kike nani?
wewe mama, mwanaume kudeka na kujishaua namna hiyo!! hizo ni sifa za wadada, ukiona mwanaume ana behave hivyo hautapata 'rainbow flags' kichwani kwako?ulikuwa kwenye mawazo yangu my dear. hilo ndo lilikuwa haswa swali nataka kumuuliza
nataka kubadilka bt naona kama nashindwa nipe njia za kubadilika..
aemndelee au asubirie kuolewa.Endelea na hizo tabia za kike!
Tupo wawili wote wakiuume n nimekuwa na mzazi mmoja wakike..