Nahisi nimerogwa

Nahisi nimerogwa

Wakubwa Shkamooni na Wadogo Habari zenu.

Jamani naomba ushauri wenu,mm ni kijana mdogo sana sbb sijafikia miaka 30,kwenye jamii yangu ninayoishi mm ni kijana wa kupigiwa mfano kwa kuwa nimepata maendeleo mapema kuliko vijana wote waliobakia wa rika langu.

Nilianza kumiliki Nyumba ya kisasa nikiwa kijana wa miaka 17 tu,nilipofikia umri wa miaka 18,nilifunga safari za kwenda Dubai na Thailand kufata biashara za electronics,na kwa kuwa n kijana mm tu niliejanjaruka kwa wakati huo,nilipata faida ya haraka sana nikaweza kumiliki gari tatu za abiria,na kama haitoshi nikanunua boti mbili za uvuvi,ikumbukwe kwa wakati huo nilikuwa na umri wa miaka 19 tu.

kwa wakati huu naandika habari hii nina miaka 23,nimeshakuwa na vitega uchumi vingi tu.

Najua utakuwa na hamu na kujiuliza kwa nini nimesema nimerogwa?.napenda kuchukua fursa hii nikuelezeni kwa nini nimesema hivyo,maana huenda msaada wenu utakuwa na manufaa kwangu!.

Mtaani kwetu ninapoishi nilijenga mazoea ya kiurafiki na mama mmoja ambae ni kweli nilimtumia kama mshauri wangu wa kibiashara,basi huyo mama alikuwa amebahatika kupata watoto watoto 3,mmoja akiwa wa kike,na ikumbukwe huyo mama alipenda sana kunifanyia matani muda mwingine akiniita "Mkwe wangu".

nilipokuwa na miaka 22 nilitamani sana kupata msichana ili nifunge nae ndoa,nilimfata yule mama kwa ajili ya kunipa ushauri kuhusu ndoa,basi matatizo yote yalianzia hapo,sbb yule mama alinitaka nimuoe mtoto wake,na pia aliwahi kuniambia kitu kuwa ikiwa sitomuoa mtoto wake basi mm na yeye tusizungumze kwa lolote,na litakalonipata nisije kulia na yeye,niliogopa sana.

Kwa kuwa mm yule binti yake hakunivutia kwa kuwa hakuwa wife material,niliamua kumuoa msichana mwengine,basi alihamaki sana hata siku hizi nikimsalimia haitikii kabisa,na kama haitoshi,tangia nilipofunga ndoa mambo yangu kibiashara yamekuwa ya hovyo sana,mara ya mwisho kwenda dubai ilikuwa mwaka jana,biashara zangu zimeyumba sana,gari zangu 3 nimeshauza tayari,na boti yangu moja ilizama na wale watu wangu waliokuwa wanavulia wamekufa wakati inazama,niliumia sana,kwa sasa nimebaki na boti moja tu,ambalo hata halifanyi kazi vizuri,siku hizi nikifanya biashara napata hasara sipati faida.

Nilijaribu kumuomba radhi yule mama ili tuishi kama zamani,ila amekataa hata kuzungumza na mm,ki ukweli mm siwezi kumuoa mwanae namjua hajatulia,kwa kuwa alishawahi kufanya mapenzi na marafiki zangu wawili ambao tulikuwa tunashirikiana kwenye biashara,siku hadithiwa nilimuona mwenyewe kwa macho yangu alipovunja amri ya sita.

Kiukweli ninaumia sana jinsi nilivokuwa zamani na nilivo sasa.

Naombeni munishauri nifanye nn ili niwe kama zamani.
AHSANTENI.

Achauogga dogo komaa kilasiku sio j2 nenda church uombe
 
kama mali zako ulipata kutoka mungu,nina maana haujatumia ushirikina katika utafutaji wako,basi amini katika maisha kuna kupanda na kushuka.Amini nakuambia kama unamuamini Mungu,basi utapanda juu zaidi,sisi wakristo tunaamini hivyo,na tunapata imani kupti kwa Ayubu.
 
Toa hizo Pepo chafu kwa JINA LA YESU. Have a short prayer with me.

Demons, in the name of Jesus Christ:

I now plead the Blood of Jesus Christ over my entire spirit.
I now plead the Blood of Jesus over my entire soul.
I now plead the Blood of Jesus over my entire body.
I now plead the blood of Jesus over this entire house.

Demons, the Word of God is now my Sword! I repeat, the Word of God is now my Sword!

I am now taking up my sword, which is the Word of my God, which is the word of my Lord and Savior Jesus Christ - and I am now coming against each and everyone of you - whether you be on the outside of me or whether you be on the inside of me.

Demons, all of your legal rights have now been completely and totally broken to pieces - completely and totally demolished - completely and totally severed. I repeat - all of your legal rights have now been completely broken. Your time is up! You will all have to go now! I repeat - you will all have to go now!

To every single demon that is living and operating on the inside of me - I am now coming against each and everyone of you. I now plead the Blood of my Lord and Master Jesus Christ against each and everyone of you. I repeat - I am now pleading the Blood of Jesus Christ against each and everyone of you.

In the name of Jesus - I command you to come out of me right now and to leave me and this house - and you are to never, ever come back on me again. I repeat - every single one of you that may be on the inside of me is to come out of me right now in the name of Jesus Christ - and you are to leave my body, my soul and this house immediately! Go now, in the name of Jesus Christ! I repeat, go now in the name of Jesus Christ!

To every single demon who may be attacking me from the outside or who has been living in this house as a result of the legal rights I had earlier given to you, I am now coming against each and everyone of you. You too have had all of your legal rights totally broken. Not one of you has any more legal right to be able to stay attached to me in any way, shape or form. You will all now have to go.

In the name of Jesus Christ - I now plead the Blood of Jesus against each and everyone of you! I repeat - I now plead the Blood of Jesus Christ against each and everyone of you!

In the name of Jesus - I now command you to leave myself and my house, and you are to never, ever come back on me again. I repeat, you are to leave me and my house for good - and you are to never, ever come back on me again! Go now, in the name of Jesus! I repeat - go now in the name of my Lord and Savior Jesus Christ and do not ever come back into my life or this house ever again!

Father, Jesus - I have full faith and belief that You have now driven all of these demons out of my body, out of my soul, out of my house and out of my life for good by the power of Your Holy Spirit.

Father, Jesus - I now ask that You protect both me and my family from this moment on, and that You never allow these demons come back on us ever again.

Father, Jesus - to You be all of the glory. To You be all of the praise, glory and honor that is only due to You.

Father, thank You for this deliverance.
Father, thank You for this new life.

Father, I now ask that You take complete control on my life from this moment on and that You lead me into Your perfect will for my life.

Father, guide me by Your Holy Spirit into the direction and path that You will want me to take in this life. My life is no longer my own. I now belong to You, and You alone.

Thank You Father.
Thank You Jesus.
Thank You Holy Spirit."demons! Now is the time to vanquish them out of my life for good! Now is the time to stand up and fight and directly engage with them - operating under Your full power and anointing to be able to do so!

In Jesus Name

and EVERYBODY SAY, Amen

uuuuwiiiii thnkyuuu mtumish japokingeletha kigumuu hvohvooo tuuuu lazma afungukeeee
 
Huyu jamaa anajua alichofanya.Mtamshauri hadi mdate hapa hana hata moja.
Kwanza mjiulize miaka 17 je shule hakusoma zaidi ya kujua kuandika kwa kupindua tu?
Hii inaonekana hapa kuna mambo ya kujiuliza jinsi alivyopata mali.Maana asije kuwa amedhulumu pesa za urithi,wizi,ujambazi nk. at 17 yrs of age halafu huna mshauri kwenye Familia hapa kuna jambo.

Kama pesa sio halali basi jua kwamba mwisho wako ni wa miujiza kama hii.Hata uombewe na nabii ashuke lakini safari ndio baibai tena.
We angalia wale majambazi au matapeli waliosifika leo wapo wapi?Taabani

Jambo la Pili:Wewe hali umeiona mwaka jana,na unasema umeisha omba sana mungu lakini wapi,hivi unafikiria mungu ni kama Kingwendu,yaani wewe unaomba unataka akufanikishie kwa wepesi namna hiyo,kuna watu wameomba hadi miaka 40 ndio wakapata.
Mwisho wa Maisha yako unahesabika na Imani yako kwa Dini huna kabisaa.
 
Mkuu mm ni Muislamu,nimeshafunga,kutoa sadaka na kuswali sana bado tatizo lipo pale pale.naomba unipe ushauri mwengine.

Ndugu kuwa na imani kama ya ibrahim aliomba mtoto kwa Mungu miaka mingi bila majibu lakini hakukata tamaa lakini baada ya miaka mia kupita Mwenyezi Mungu alimpa mtoto na jina lake Isaka baada ya hapo ,
Mungu akamwambia mwana wake wa pekee anayempenda amtoe Isaka kuwa sadaka ya kuteketeza japo alikuwa mtoto wake wa pekee na asingeweza kuzaa tena kutokana na uzee aliokuwa nao,
Ibrahimu alimwomba Mungu akampeleka Isaka kwenye mlima alioagizwa ili kumtolea Mungu mtoto wake wa pekee kuwa sadaka lakini akishakuandaa kila kitu na Isaka akiwa juu ya kuni tayari kwa kutolewa sadaka Mungu kwa kutambua imani ya kweli aliyokuwa nayo Ibrahimu na Mungu alimletea kondoo ili amchinje badala ya Isaka,
Ndugu nimekupa mfano huu kutokana na wewe kusema umekutwa na majaribu na ulifunga na kutoa zaka kwa Mungu ili mambo yako yarudi kama zamani,
Nataka nikuambie Mwenyezi Mungu huwahadhihakiwi na ni mwenye Huruma na Upendo mwingi na kwa imani yako unaonekana ulishakata tamaaa na uliamua kufunga kwa kujaribu kama Mungu atakujibu kesho yake ,
Iko wapi imani yako leo endelea kuomba na kufunga ukitoa sadaka kwa wajane, yatima na maskini na utoapo sadaka hizo hata mkono wako wa kushoto usijue Mungu atakujibu kwa wakati.
 
Nfikiri hujagusia wazazi wako kabisa au ulipopata hela ukawatupa na kuangalia ya dunia zaidi na mali yako tu hebu kawatake radhi zao, huenda ikawa dawa kwako. Na kuhusu shirk kama utaamini itakuandama lakini kama ukitupilia mbali onyo la huyo mama sidhani kama itakuumiza kichwa sana,
 
Unatakiwa kusomewa wewe ,kitabu cha mungu kimeelezea uchawi na jinsi ya kujikinga na kujitibu, so unatakiwa kipite kisomo cha nguvu na maji ya kuoga na nyumba isomewe na nk . nb usifanye uchawi ndugu yangu tafuta mashekhe wanaotibu kisuna kama unahitaj msaada nipm
 
Uliweka agano na huyo mama kuwa utamuoa mwanae sasa kwanini ubadaii mawazo, bt mrudie Mungu
 
Angalia unawezakuta unapambana na adui usiyemjua.Na kama ni temporarly money ndio mwisho wake unavyokuwaga
 
sikuhadithiwa nilimuona mwenyewe kwa macho yangu alipovunja amri ya sita.

Kiukweli ninaumia sana jinsi nilivokuwa zamani na nilivo sasa.

Naombeni munishauri nifanye nn ili niwe kama zamani.
AHSANTENI.

Mkuu mm ni Muislamu,nimeshafunga,kutoa sadaka na kuswali sana bado tatizo lipo pale pale.naomba unipe ushauri mwengine.
Na waislamu mna amri ya sita kwenye Quran?
 
Dogo pole. Unahakika mafanikio yako hayatokani na huyo mama. Ni ushauri gani aliokuwa akikupati? Sijeikawa ni ushauri wa miundimbinu!!!!
 
Kuna jambo hujaweka wazi hapa mkuu. Kwa umri huo mdogo na mali hizo, chanzo cha utajiri huo hujaweka wazi. Jaribu kuangalia namna ulivyo “bahatika” kutengeneza pesa hizo. Kama kwa nafsi yako unaona vyanzo vya utajiri huo haukuwa sawa sana then unawajibika kwa namna mali hizo zinavyopotea. Ukigundua kuwa kuna namna ambayo mali hazikupatikana kwa njia halali unatakiwa uanze kwa kutubu na baadaye umwite Mungu aingilie kati. Kama ilipatikana kihalali pia muulize Mungu akusaidie.
 
Utajiri wa kuwa na "vitega uchumi kibao" ndani ya miaka 23 lazima upotee ghafla. Embu fikiria mtu unauza elecronics, then una magari ya biashara then una maboti. Utajigawaje? Udhibiti unakua mgumu sana kwa kuwa na tamaa ya kila kitu.

Utajiri wa kudumu ni mtu kutulia na line fulani ya biashara/uwekezaji hadi ikomae kabisa ndo uchepukie kwingine. Haya mambo ya watu kupata hela na kuanza kununua magari ya biashara, mara maboti, n.k ndo yanawatoa wengi sana kwenye reli. CONSISTENCY, CONSISTENCY & CONSISTENCY.
 
Nfikiri hujagusia wazazi wako kabisa au ulipopata hela ukawatupa na kuangalia ya dunia zaidi na mali yako tu hebu kawatake radhi zao, huenda ikawa dawa kwako. Na kuhusu shirk kama utaamini itakuandama lakini kama ukitupilia mbali onyo la huyo mama sidhani kama itakuumiza kichwa sana,

Ahsante kwa ushauri
 
Utajiri wa kuwa na "vitega uchumi kibao" ndani ya miaka 23 lazima upotee ghafla. Embu fikiria mtu unauza elecronics, then una magari ya biashara then una maboti. Utajigawaje? Udhibiti unakua mgumu sana kwa kuwa na tamaa ya kila kitu.

Utajiri wa kudumu ni mtu kutulia na line fulani ya biashara/uwekezaji hadi ikomae kabisa ndo uchepukie kwingine. Haya mambo ya watu kupata hela na kuanza kununua magari ya biashara, mara maboti, n.k ndo yanawatoa wengi sana kwenye reli. CONSISTENCY, CONSISTENCY & CONSISTENCY.

Kwa hio unanishauri VP.maana kwa sasa ninafanya biashara moja tu.nimefungua Bangalow kwa ajili ya watalii.Ila nimeshaichoka hii biashara maana Hawa jamaa wana mazarau sana.
 
Back
Top Bottom