inatokeaga tu mkuu..c unajua me nae ni binadamu.
unafahamu lile boya la kuogelea, unafahamu linavyoonewa na mawimbi ya baharini, basi hauna tofauti naloSijui nifanyaje,yani kila nikiznguana kidogo na gelofrendi wangu,bac ye anakimbilia kuniambia tuachane,nkimbembeleza kdogo anajirudi..sa cjui hz ndo dalili za kuchokwa au vp wakuu?