Mtoto wako atalelewa na mzazi mwingine!Baada ya kujifungua sina mpango naye wala wazo naye lolote na pia kwenye mizani ya kuchagua wife hanifai natokaje apo mkuu.....
Ipo hiviWakuu habari zenu, nilikuwa naomba ushauri wenu katika pitapita zangu za kupambana na maisha nikapata mda kidogo wa kukaa nyumbani mkoani.
Baada ya kufika kuna kama stationary ipo jilani nikamuomba mwenye stationary nijishikize apo akasema hakuna shida, ni mtu ninaye muheshimu, .....
Baada ya mda nikakuta kaleta ndugu yake wa kike toka kijijini anasemaje amekuja kujifunza mjini na ame ni direct kwangu nimfundishe kazi za stationary....
Katika harakati za ujana kosa lilianza apa, nikaona kama anafaa kuwa mchumba ata wa badae nikaanzisha uhusiano naye.....
Baada ya mda kupita kama miezi miwili nikaanza kujua tabia zake halisi kama uhuni nilifuma mawasiliano ya simu na wanaume wengine, pia mtaa apa kuna tetesi kuwa anatembea na vijana nikaona hii ni red flag nikamwambia tuachane nitamuuliza una mimba akasema hakuna una ugonjwa wowote hapana nikampa ushauri mjini kuwa makini kuna magonjwa na siku akipata mimba nje ya ndoa hao vijana hatoweza kuja kuwaona.......
Baada ya kuachana nae takribani miezi mitano anakuja home kwa wazazi anadai ni mjamzito.....
Nilichoamua kusema ni kwamba tusubiri mtoto tupime DNA maana sijui kipindi chote icho alikutana na kina nani?
Baada ya apo familia yao wanataka tukaandikishe kwa balozi endapo ni wangu niwe responsibility
Changamoto nahitaji msaada wa mawazo apa.
1. Mwanamke anaweza kukaa na mimba yako kwa miezi 5 bila kukwambia ( hasa dada zangu naomba jibu)
2. Nahisi ulikuwa mtego ili nimu oe sina mawasiliano naye kwa kipindi chote hiki wala hisia naye, na wala sijawahi kupanga nimu oe je nitumie mbinu gani ya busara ambayo itanifanya niwe mbali nae....
3. Je kwa mazingira haya ungekuwa wewe ungefanyaje na kisheria ipoje kwa mbeleni maana hili swala limenichanganya..
4. Swala la kwenda kusign kwa balozi kuwa kama ikitokea mimba ni yangu nilipie fidia zote ilo limekaaje sio mtego ndio naji commit moja kwa moja...
Asante nategemea mawazo na ushauri wako.....
aye kwenye kituo cha afya au hospitali ukampime kujua umri halisi wa ujauzito wake na sio umri wa ujauzito kwa kusimuliwa naye. Nadhani lengo lako limo kwenye kujiondoa kwenye utata huo unaokupa wasiwasi.Hakuna jambo nimeficha mkuu
Mkuu kuhusu swala la shule sio mwanafunzi
Kuna issue za kwenda kwa balozi kutia sign ya maelezo ndio apo changamoto nataka kujua ina effects kwangu....
Kuhusu makadilio kasema miezi mitano ambayo ni mda tulipotengana .....
Naomba muongozo wako mkuu vaa hii situations....
We kijana kwanini hukutumia kinga kama marengo yako ni hayo?...Baada ya kujifungua sina mpango naye wala wazo naye lolote na pia kwenye mizani ya kuchagua wife hanifai natokaje apo mkuu.....
Hizo process atajua mwenyewe mkuuHivi mnafikiri kupima DNA ni kama kupima malaria?
Ni kipimo chenye process ndefu
Hadi upate kibali mahakamani
Na ukipima utaambiwa mtoto ni wako usituletee watoto wa mtaan
😂😂😂 haaa!😁😆! Mkuu haujawahi kusikia utetezi wa wapenda 'kavu'?
Halafu 'kavu' huwa ni biashara ndani ya biashara ujue!
Yaani wanakubaliana let say kwa hamsini ila kwa 'ndom', wakifika huko jamaa akidai allergy, huwa yakimtokea mapele akivaa, yanatengenezwa makubaliano ya bei nyingine ya kavu ndani ya mkataba wa makubaliano ya mwanzo.
View attachment 3356269
ndio maana kijana alipiga dry
Kwenda kusign kwa balozi! Unamaanisha kwa sasa hutohusika na huduma zozote mpaka ajifungue na isibitike mtoto ni wako ndo ulipie gharama zote za kipindi akiwa mjamzito sio? Kama ndivo iko vizuri hyo, tatzo DNA zetu Bongo ni nadra kutoa majibu ya "mtoto sio wako" #Mondi shahidiWakuu habari zenu, nilikuwa naomba ushauri wenu katika pitapita zangu za kupambana na maisha nikapata mda kidogo wa kukaa nyumbani mkoani.
Baada ya kufika kuna kama stationary ipo jilani nikamuomba mwenye stationary nijishikize apo akasema hakuna shida, ni mtu ninaye muheshimu, .....
Baada ya mda nikakuta kaleta ndugu yake wa kike toka kijijini anasemaje amekuja kujifunza mjini na ame ni direct kwangu nimfundishe kazi za stationary....
Katika harakati za ujana kosa lilianza apa, nikaona kama anafaa kuwa mchumba ata wa badae nikaanzisha uhusiano naye.....
Baada ya mda kupita kama miezi miwili nikaanza kujua tabia zake halisi kama uhuni nilifuma mawasiliano ya simu na wanaume wengine, pia mtaa apa kuna tetesi kuwa anatembea na vijana nikaona hii ni red flag nikamwambia tuachane nitamuuliza una mimba akasema hakuna una ugonjwa wowote hapana nikampa ushauri mjini kuwa makini kuna magonjwa na siku akipata mimba nje ya ndoa hao vijana hatoweza kuja kuwaona.......
Baada ya kuachana nae takribani miezi mitano anakuja home kwa wazazi anadai ni mjamzito.....
Nilichoamua kusema ni kwamba tusubiri mtoto tupime DNA maana sijui kipindi chote icho alikutana na kina nani?
Baada ya apo familia yao wanataka tukaandikishe kwa balozi endapo ni wangu niwe responsibility
Changamoto nahitaji msaada wa mawazo apa.
1. Mwanamke anaweza kukaa na mimba yako kwa miezi 5 bila kukwambia ( hasa dada zangu naomba jibu)
2. Nahisi ulikuwa mtego ili nimu oe sina mawasiliano naye kwa kipindi chote hiki wala hisia naye, na wala sijawahi kupanga nimu oe je nitumie mbinu gani ya busara ambayo itanifanya niwe mbali nae....
3. Je kwa mazingira haya ungekuwa wewe ungefanyaje na kisheria ipoje kwa mbeleni maana hili swala limenichanganya..
4. Swala la kwenda kusign kwa balozi kuwa kama ikitokea mimba ni yangu nilipie fidia zote ilo limekaaje sio mtego ndio naji commit moja kwa moja...
Asante nategemea mawazo na ushauri wako.....
una Sheria ya kulea ujauzito mkuu hata wasikutishe... 'Kisheria ipoje'... !
Mkuu kwani huyo malaya ni mwanafunzi?
Unajichanganya sana ujue!
Umemtilia shaka juu ya maelezo ya ujauzito wake na ukaeleza kwamba unamsubiri akijifungua mkampime Dna ya mtoto, sasa kuna ushauri gani zaidi ya huo unaoutaka kutoka kwa wadau?
Lakini kwa maelezo ya thread yako, kuna jambo unalificha hautaki kuliweka wazi.
Nasema hivyo kwa sababu, kwa mwanaume matured hauwezi kushindwa kuelewa mkadirio wa ujauzito wa hawara yako, kisha uanze kuuliza maswali mepesi namna hii, eti sijui ufanyeje, sijui sheria inasemaje kumpa uja uzito hawara!
Hapana, kuna jambo unatuficha hapa.
Kuwashwa washwa midomo kama pilipili baada ya kutoka kula!Allergy ya nini?