Kwa umri huo unatakiwa uwe unavuta bangi sio kuwaza mademu muda ukipita utayarudia ukubwani
Umenikumbusha 1 thing,nilianza kuvuta bangi hicho kidato teh teh teh teh
Ijumaa qareem
leo wana mmu nahisi ninaproblem nimemaliza form 4 mwaka jana na niko na mambo yangu sasa nahitaji niwe na mpenzi yaani demu nimejitahidi kwa kila njia lakini kila demu ninae mtongoza anasema anamtu wake kila mmoja ana mtu sasa cjui nifanye nn sababu ni mpweke nitumie njia gn nifanikiwe wadau
Kwa umri huo unatakiwa uwe unavuta bangi sio kuwaza mademu muda ukipita utayarudia ukubwani
wale wazee wanaovuta bangi ujanani hawakuvuta
Mmmmh! kwani Kila kitu pesa
Eti nasikia Muhishimiwa Kayanza naye ananyonga halafu anaulizia wapi nali!
Ahahahahahahahah Khantwe embu msahuri huyu, au kamata fursa timua zako
Alafu demu unatongozwa kwa hela tu na simaneno wapi miss chagga