Nahisi nimebaki mwenyewe sasa msaada

Nahisi nimebaki mwenyewe sasa msaada

Hao wanao ruka ruka washikilie na shillingi. Utaona mwenyewe
 
mnakosaje ma dem nyie,,,,,,,,, ???
 
Vip unampango wa kuendelea kusoma?? kama ni hivyo soma sana
 
Labda tu subiri iwe zali kama la mentali
 
Tyta tunaomba file la huyu kijana tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Ijumaa qareem

leo wana mmu nahisi ninaproblem nimemaliza form 4 mwaka jana na niko na mambo yangu sasa nahitaji niwe na mpenzi yaani demu nimejitahidi kwa kila njia lakini kila demu ninae mtongoza anasema anamtu wake.

Kila mmoja ana mtu sasa sijui nifanye nini sababu ni mpweke nitumie njia gani nifanikiwe wadau.

dada yako hana mtu
 
hahshah hebu tuweekee stori zake za nyuma umemkamataje

Alishakuja na story ooh yupo chuo dem anaomba sana hela mara smartphone, akaja tena kivingine kuwa kaacha kuhonga kapata maendeleo ana laptop na sub woofer hataki tena dem ha ha ha kumbe hana lolote eti chuo labda juma training college
 
Back
Top Bottom