Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Unajua mambo ya aina hii ndo yanapelekea wanawake waliozaa bila ndoa wanashindwa kupata wanaume wa kuwaoa hata kama ni innocent, tatizo inakuwepo hii bond kati yao na ma ex wao kuhusu mtoto, sijui ila nadhani ni vizuri wanawake tuwe na roho ngumu, hivi inakuwaje mtu kakuacha wakati unamhitaji sana, wakati wa ujauzito, which means kakikataa hata hicho kiumbe halafu anatokea two years later anajidai anataka kumwona mtoto na mama bila kufikiri unapanda ndege kumpelekea lol! kina mama roho zetu nzuri hizi zinatucost sana aisee.
Umeonae? sasa unaanza kuelewa. Lini utatangaza matokeo ya zile kura za maoni ya INFIDELITY? (Sore ofu topiki)