Resurrection
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 720
- 898
Tupe wasifu wako ukoje tunaweza kukushauri vizuri.
Ahahah, mkuu hiyo hata Mimi inanitokeaga sababu ya mwili na sura yangu ya kazikazi, ila mwisho wa siku niki-withdraw kiasi kikubwa cha pesa huwa wanaanza kujichekesha.Wazima wandugu...hili tatizo ni mimi tu au kuna mwingine linamtokea. Nikienda kwa vibanda vya mpesa mara nyingi wanataka Waone sms ilyorudi kwangu ndio wanipatie pesa, nikienda office za watu utaona mdada anahamisha pochi yake na simu , Bank teller anachukua mda mwingi kunihudumia.. saa ingine anaenda kupata ushauri kwa mwenzake au manager..... hii hali inanifedhehesha sana.
Mkuu wapuuze tu hao wanaokutilia Shaka, Ni masikini wa fikra haoSili jani mkuu...sijui ni nini
Personality ni ni kwa Kiswahili?Angalia personality yako
HAIBAPersonality ni ni kwa Kiswahili?
Itabidi ujiweke sawa Mkuu, pia usijiaminishe sana kua watu wanakuona wewe ni Mwizi coz mtu anaweza akawa anahamisha simu yake au mkoba wake kwa lengo lingine kabisa ila wewe ukawaza anakuogopa wewe utaiba, unatakiwa uiondoe hiyo dhana uliyojijengea.Sasa mambo kama hayo ndio yananizidishia
HaibaPersonality ni ni kwa Kiswahili?
Navaa fresh tu sijui ni nini...hata nikiwa shule kikitokea kitu lazima niwe kwenye list ya wahisiwa
HahahahaUmenikumbusha mi nlienda kwenye mpesa nimening'iniza funguo ya gar kiunon alaf Niko smart nikamkuta dada mmoja mkali balaa alaf nkaomba namba yake ili nitoe pesa akanipa nikatoa buku tu ,,
Daah yule sista aliniangalia Mara mbili mbili huku ananiuliza umetoa shingap? Nikamjibu buku akauliza "eeeeh?" Nikamjibu "buku" (ki gangster) huku nanyoodha mkono anipe hela yangu nlivyoondoka aliniangalia had napotelea.