Nahisi mtoto sio wangu

Kama nimekuelewa mashaka yako ni mimba imechukuwa zaidi ya miezi iliyozoeleka. Ushauri wangu ni kwamba usimpime DNA. Sababu utaishia kuingiza fitna kati yako na mamaake kisha baadae hiyo fitna itamfikia mtoto. Kwamba asipokuwa wako ni fitna na akiwa wako ni fitna pia sbb mama mtu atadumu milele kukulaumu hukumwamini na baadae mtoto ataja fahamu kivingine kuwa hukumtaka. Nakushauri ridhika kwamba dogo ni wako. Kisha pata mdogo wake na hata zaidi. Ushauri mwingine ni kuwa halalisha harakati zako. Bila kuhalalisha matendo yako KIMAADILI utajavuna uadui na wanao wa mrengo wa kiharamu
 
Yaani umeajiriwa na bado unataka kuzaa kama bata??
Mi afrika mtu akiwa na uhakika wa ugali tu anataka kujaza dunia, no wonder tuna majitu mapumbavu sana kwenye hili bara!
 

Ukimchunguza sana bata utashindwa kumla mkuu
Tulia na hao wake zako, endelea kupiga show nzuri ukamilishe hiyo idadi ya watoto utakao. 45+ uchunguzi wa nini? Maisha mafupi haya, utakufa uache ndoto yako haijatimia, shauri yako!
 
Tukubali kutofautiana, watoto wangu wote wamepimwa DNA na wao wanajua hadi majibu. Wapo proud of that
 
Ndugu intelligent business umeuona mstari wa mwisho ,kaka hawataki GEN Z kabisa kwenye uzi wake eti sasa sijui mtanchangia wapi aisee ,maana wengine nao huko mkichangia naona wanawatoa mkuku
 
Hizi ndo comment sasa, nashukuru sana bro.
 
Nenda Kapime DNA kimya kimya.

Ni bora Ulee Huyo mtoto kama Step father utakua na Amani, kuliko hivyo unavyo taka kufanya.

Kama sio wako, Jinsi anavo kua ndo atakua Hafanani kabisa na wewe, Na utaanza kuona anafanana na Majirani.

Umri wako sio wa kujipa hizo presha utakuja kufa tu, siku huyo mwanamke atakapo kuropokea kua kwanza huyo mtoto sio wako
 
Dahh mtu umeoa na umesha zeeka ila Sasa kubonyeza bonyeza vibinti kisa unataka mtoto wa 5??? Acha umalaya mkuu.
 
Andaa hata ghorofa moja hapo kariakoo la kurithisha watoto ndo ufikirie kuongeza watoto
 
Hali ya kukosa mtoto hasa pale unapokuwa unajiweza huwa inatesa sana hasa kwa mwanaume kwani hofu zinakuwa nyingi kuchapiwa mkeo,kukosa mrithi,pressure za wazazi nk.

Kupitia andiko lako ni kwamba hujawahi kupata mtoto na huna mtoto na hilo ndilo linalokusumbua mpaka sasa na wengine wengi.

Nikiwa kama mwanaune mwenzio nakushauri kwanza nenda kapime afya yako ya uzazi kujua nini tatizo lako na kupata ushauri sahihi kwenye eneo hilo.

Pili wenzako baada ya kuhisi kuwa wanaweza kuwa na changamoto hiyo huwa wanafatilia kalenda za wapenzi wao na pia huwa hawawaambii kuwa nahitaji mtoto kutoka kwako.

Mwisho naweza kukupa msaada kujua kama mtoto ni wako ama siyo wako kupitia group zenu za damu wewe na huyo mtoto kama unazijua japo hii majibu yake ni 70% na siyo 100%

Mwisho ni njia ya asili kabisa japokuwa mtoto kama siyo wako anaweza kuumwa mno kama hujamuiguwa kama mamake atakomalia ni wako anaweza kufa kabisa
 
Watoto wawili hawatoshi jomba ? Huyo wa 17yrs kama ni wa kike kesho Kesho atakuletea mjukuu, huku bado unahangaika tena kuzaa n vibinti
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…