okyo
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,003
- 1,504
Ok nenda ekenywa wapo vizuri ENT Na mambo ya allergy piaNipo dar mkuu
Pole sana uende Hosp sasaNimekoma mkuu nilishaachaga kwakwel nateseka
Basi muone daktari wa magonjwa ya koo.Vidonge vya vitamin C nimetoka kumaliza weekend iliyopita tu, machungwa nimekula sana mkuu kwa siku si chini ya matano
Pole sana mkuu,hakuna tatizo lisilo na ufumbuzi amini hilo,usikate tamaaHabari wakuu.
Nimekuwa nikisumbuliwa na hili tatizo yapata mwaka sasa bila mafanikio, ulimi wangu umekuwa unalika na kupona wenyewe upande mmoja, kuna kipindi nahisi kama kuna kitu mafano wa chakula kimekwama kooni na maumivu kwa mbali sana kooni, kifua na koo kuwaka moto, natokwa na vipele vidogo mkononi tumboni na kifuani, mwili kuchoma choma nimeenda hospital nyingi tu tangu mwaka jana naishiwa kupewa dawa tu bila kufanikiwa, nimekuwa na mawazo hadi nakosa raha kabisa naombeni ushauri wenu wakuu. Naambatanisha na picha hapo chini
Assante sana ndugu ubarikiwe nafurah kwa kunipa moyo niko kwenye mchakato wa kufuata ushauri wenuPole sana mkuu,hakuna tatizo lisilo na ufumbuzi amini hilo,usikate tamaa
Ipo siku utapona na itabaki historia tu kuwa ulikuwa na tatizo hilo
Jaribu kuonana na daktari wa magonjwa ya ngozi huku ukiendelea kufatilia ushauri ulopewa na wadau wa kutumia vitamin c,au malt vitamin,pamoja na kula matunda yenye njano mf machungwa,nanasi n.k
Naamini utapona.
Na kama ni mwanaume na kwa wanaume wengine wote muepuke sana kuzama chumvini,inaweza waletea matatizo kama mwanamke ana fangas au hajisafishi vizuri,sijamaanisha mtoa Uzi anafanya hivyo ila ni ushauri tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni athari za kunyonya k! Wahi kupimwa maabaraYes mkuu ni maramoja tu katika maisha yangu sikufanya tena naomba msaada wenu wakuu
Amen barikiwa nawe upone.Assante sana ndugu ubarikiwe nafurah kwa kunipa moyo niko kwenye mchakato wa kufuata ushauri wenu
Ni kweli usemayo mkuu niliwahi kufanya maramoja
Assante mkuuPole mkuu kwa mateso unayoyapata,Mungu akufanyie wepesi katika hali yako upate tiba stahiki kwa tatizo lako!Madaktari naomba mje huku huu ndio muda wenu wakujidai nakujionyesha mnachokijua msituachie siye kina yakhe wakukisia.Njooni please mtoe ushauri ndugu yetu anateseka,Huu uzi upo kwenye idara yenu njooni kwa wingi.Mkuu nimewaita nadhani wakipata nafasi watakuja tu vuta subra!