genious wa kijiji
Senior Member
- May 1, 2014
- 173
- 248
- Thread starter
- #21
Naishi Dodoma mkuu. Namba, hapana kwa hatua hii.Unaishi wapi ili nijue jinsi ya kukusaidia.toa namba
Naishi Dodoma mkuu. Namba, hapana kwa hatua hii.Unaishi wapi ili nijue jinsi ya kukusaidia.toa namba
kodi ulitakiwa kuiweka kabla sio uitafute dakika za lala salama inakuwa ngumu kupata uza vitu vya ndani upate kodi utanunua vingine baadae
Asante. Ups and downs make life beautifulMkuu pole sana.
Wewe ni genious au genius..? Tuanzie hapo....
Hiyo hifadhi sidhani kama tutakua mkoa mmoja. No, thank you
Hiyo hifadhi sidhani kama tutakua mkoa mmoja. No, thank you
Mimi ni genious.........genius ni mtu mwenye akili nyingi, ningekua genius nisingekuja hapa kuomba ushauri
ManengeloWacha wee!
Safi sana, umeitendea haki ID yako genious wa kijiji Japo usahihi ni Geniuskuufuata sana huo ushauri ila nimepost ili kupata mental relief kidogo. Wanasemaga a problem shared is a problem half solved
Manengelo
Kama huna msaada kaa kimya!Uza smart phone
Pata pepisYakupasa umueleze mwenye nyumba hali iliyokukuta na kama inakuwa ngumu nenda kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa na umueleze shida iliyokukuta.
Hiyo shida yako sio ya kujitakia ni shida inayoweza kumpata mtu yeyote, uliugua na ukashindwa kuzalisha matokeo yake umeshindwa kutimiza malengo uliyoyakusudia---- hao wote, mwenyekiti na mwenye nyumba ni binadamu watakaa wafikirie kitu cha kufanya (wakupe muda mchache wa kuendelea kukaa hapo ili uzalishe kipato).
Hiyo ni miongoni mwa kazi za mwenyekiti wa serikali za mitaa.
Kama ulipaji wako wa kodi kwa mwenye nyumba ulikuwa mzuri kabla ya kupata shida, ukimweleza mwenye nyumba atakuelewa, tatizo ni pale ambapo kama utakuwa ni msumbufu wa kulipa kodi kwa mwenye nyumba, mwenye nyumba ataitumia shida yako kama fimbo ya kumuondolea shetani aliyemvamia kwenye nyumba yake.
Shida sio mzee. Shida ni kwamba kuna mtu anahamia hapaFanya kumuomba mzes angakau akupe Mwez mmoja theni ujipange upyaaa
Karibu sana mtaalamSafi sana, umeitendea haki ID yako genious wa kijiji Japo usahihi ni Genius
wee siomzim..