Nahisi kuchanganyikiwa: Kodi ya chumba imeisha natakiwa kuhama na sina hela

genious wa kijiji

Senior Member
May 1, 2014
173
248
Wakuu
Nilikua nimepanga kwenye chumba kimoja kodi elfu thelathini kwa mwezi. Kodi inaisha kesho tarehe 1 agosti na ninatakiwa kuhama kwa kuwa nilishaongea na mwenye nyumba tukakubaliana kwamba kesho nihame hivo tayari alishatafuta mtu wa kumpangisha na huyo mtu anahamia kesho jioni hivo natakiwa kuondoka.


Mm sina kazi maalum isipokuwa naungaunga mtaani leo natembeza mitumba kesho nauza machungwa ili mradi mkono uende kinywani.


Sio kwamba sikuwa na taarifa ya kuhama, taarifa nilikua nayo ila mbaya zaidi takriban wiki nzima nilikua naumwa hivo sikuenda kutafuta. Jana na leo ndo nimeenda na nimebahatika kukusanya 20,000/=

Hii haitoshi kulipa kodi ya chumba kwani vyumba vingi mjini vinaanzia 30000 na unatakiwa kulipa kuanzia miezi mitatu.

Wakuu naomba ushauri nifanyaje ili hii elfu ishirini izalishe walau 90000 kwa siku ya kesho nikatafute chumba nilipie.

Niko tayari kufanya mishe yoyote halali nipate hela ya pango.naombeni mawazo yenu
 
Wakuu
Nilikua nimepanga kwenye chumba kimoja kodi elfu thelathini kwa mwezi. Kodi inaisha kesho tarehe 1 agosti na ninatakiwa kuhama kwa kuwa nilishaongea na mwenye nyumba tukakubaliana kwamba kesho nihame hivo tayari alishatafuta mtu wa kumpangisha na huyo mtu anahamia kesho jioni hivo natakiwa kuondoka.


Mm sina kazi maalum isipokuwa naungaunga mtaani leo natembeza mitumba kesho nauza machungwa ili mradi mkono uende kinywani.


Sio kwamba sikuwa na taarifa ya kuhama, taarifa nilikua nayo ila mbaya zaidi takriban wiki nzima nilikua naumwa hivo sikuenda kutafuta. Jana na leo ndo nimeenda na nimebahatika kukusanya 20,000/=

Hii haitoshi kulipa kodi ya chumba kwani vyumba vingi mjini vinaanzia 30000 na unatakiwa kulipa kuanzia miezi mitatu.

Wakuu naomba ushauri nifanyaje ili hii elfu ishirini izalishe walau 90000 kwa siku ya kesho nikatafute chumba nilipie.

Niko tayari kufanya mishe yoyote halali nipate hela ya pango.naombeni mawazo yenu
Kalale mwendokasi
 
Kupata elf 90 kwa siku moja au mbili labda ukaibe, tafuta chumba kama hicho cha 30 then ongea na mwenye nyumba ulipe kodi ya mwezi mmoja kwanza na umwambie hali halisi ila pia kuna hela unasubiria kwa ndugu, ndani ya huo mwezi pambana upate ya mwezi mwingi au hata miwili.
Utupe mrejesho tuone namna ya kukusaidia, nimependa uandishi wako na umejieleza vyema.
Pole and all the best
 
Wakuu
Nilikua nimepanga kwenye chumba kimoja kodi elfu thelathini kwa mwezi. Kodi inaisha kesho tarehe 1 agosti na ninatakiwa kuhama kwa kuwa nilishaongea na mwenye nyumba tukakubaliana kwamba kesho nihame hivo tayari alishatafuta mtu wa kumpangisha na huyo mtu anahamia kesho jioni hivo natakiwa kuondoka.


Mm sina kazi maalum isipokuwa naungaunga mtaani leo natembeza mitumba kesho nauza machungwa ili mradi mkono uende kinywani.


Sio kwamba sikuwa na taarifa ya kuhama, taarifa nilikua nayo ila mbaya zaidi takriban wiki nzima nilikua naumwa hivo sikuenda kutafuta. Jana na leo ndo nimeenda na nimebahatika kukusanya 20,000/=

Hii haitoshi kulipa kodi ya chumba kwani vyumba vingi mjini vinaanzia 30000 na unatakiwa kulipa kuanzia miezi mitatu.

Wakuu naomba ushauri nifanyaje ili hii elfu ishirini izalishe walau 90000 kwa siku ya kesho nikatafute chumba nilipie.

Niko tayari kufanya mishe yoyote halali nipate hela ya pango.naombeni mawazo yenu


Yakupasa umueleze mwenye nyumba hali iliyokukuta na kama inakuwa ngumu nenda kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa na umueleze shida iliyokukuta.

Hiyo shida yako sio ya kujitakia ni shida inayoweza kumpata mtu yeyote, uliugua na ukashindwa kuzalisha matokeo yake umeshindwa kutimiza malengo uliyoyakusudia---- hao wote, mwenyekiti na mwenye nyumba ni binadamu watakaa wafikirie kitu cha kufanya (wakupe muda mchache wa kuendelea kukaa hapo ili uzalishe kipato).

Hiyo ni miongoni mwa kazi za mwenyekiti wa serikali za mitaa.
 
Wakuu
Nilikua nimepanga kwenye chumba kimoja kodi elfu thelathini kwa mwezi. Kodi inaisha kesho tarehe 1 agosti na ninatakiwa kuhama kwa kuwa nilishaongea na mwenye nyumba tukakubaliana kwamba kesho nihame hivo tayari alishatafuta mtu wa kumpangisha na huyo mtu anahamia kesho jioni hivo natakiwa kuondoka.


Mm sina kazi maalum isipokuwa naungaunga mtaani leo natembeza mitumba kesho nauza machungwa ili mradi mkono uende kinywani.


Sio kwamba sikuwa na taarifa ya kuhama, taarifa nilikua nayo ila mbaya zaidi takriban wiki nzima nilikua naumwa hivo sikuenda kutafuta. Jana na leo ndo nimeenda na nimebahatika kukusanya 20,000/=

Hii haitoshi kulipa kodi ya chumba kwani vyumba vingi mjini vinaanzia 30000 na unatakiwa kulipa kuanzia miezi mitatu.

Wakuu naomba ushauri nifanyaje ili hii elfu ishirini izalishe walau 90000 kwa siku ya kesho nikatafute chumba nilipie.

Niko tayari kufanya mishe yoyote halali nipate hela ya pango.naombeni mawazo yenu
Iyo 20000 haitoshi kufanya nauli ya kurudi kwenu kijijin
 
Yakupasa umueleze mwenye nyumba hali iliyokukuta na kama inakuwa ngumu nenda kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa na umueleze shida iliyokukuta.

Hiyo shida yako sio ya kujitakia ni shida inayoweza kumpata mtu yeyote, uliugua na ukashindwa kuzalisha matokeo yake umeshindwa kutimiza malengo uliyoyakusudia---- hao wote, mwenyekiti na mwenye nyumba ni binadamu watakaa wafikirie kitu cha kufanya (wakupe muda mchache wa kuendelea kukaa hapo ili uzalishe kipato).

Hiyo ni miongoni mwa kazi za mwenyekiti wa serikali za mitaa.
Shukran mkuu nitafuata ushauri wa kwanza kwa kumwona mwenye nyumba
 
Kupata elf 90 kwa siku moja au mbili labda ukaibe, tafuta chumba kama hicho cha 30 then ongea na mwenye nyumba ulipe kodi ya mwezi mmoja kwanza na umwambie hali halisi ila pia kuna hela unasubiria kwa ndugu, ndani ya huo mwezi pambana upate ya mwezi mwingi au hata miwili.
Utupe mrejesho tuone namna ya kukusaidia, nimependa uandishi wako na umejieleza vyema.
Pole and all the best
Shukrani sana mkuu nitaifanyia kazi idea ha kulipa kwa mwez mmoja kwanza. Nitaleta mrejesho
 
Back
Top Bottom