Ernest 255
Member
- Oct 7, 2020
- 42
- 27
Wakuu kodi yangu ya nyumba imeisha tangia juzi lakini naona Mama mwenye nyumba nikimuamkia hana ushirikiano mzuri kabisa,,, sasa sijaelewa kwa sababu sijamlipa kodi yake.
Kiukweli huwa sijawai pitiliza hata siku moja tangia kukaaa kwake na huwa nikimlipa kodi yake huwa ananipa na elfu kumi ananiambia kanywe soda,, sasa nashindwa kuelewa anashindwa kuniambia au? Maana huwa hatuna mazoea kabisa mimi na yeye zaidi ya salamu tu na kama anajambo la kuniambia huwa anamuagiza mtoto wake.
Na hapa sina hata dalili za kupata hiyo kodi leo wala kesho,, embu nishaurini wakuu nimwambie nitampa nikipata au nimuache hadi nikipata nimpe?
Kiukweli huwa sijawai pitiliza hata siku moja tangia kukaaa kwake na huwa nikimlipa kodi yake huwa ananipa na elfu kumi ananiambia kanywe soda,, sasa nashindwa kuelewa anashindwa kuniambia au? Maana huwa hatuna mazoea kabisa mimi na yeye zaidi ya salamu tu na kama anajambo la kuniambia huwa anamuagiza mtoto wake.
Na hapa sina hata dalili za kupata hiyo kodi leo wala kesho,, embu nishaurini wakuu nimwambie nitampa nikipata au nimuache hadi nikipata nimpe?