Mi ba mkwe tuncheza mchezo gani??😛
Evelyn Salt acha basi kunirusha roho....
kurumbembe n mama akwo ndo mana ukazaliwa nje ya ndoa
umeona eeeeh ashindwe hadi mkia wa mbele lol
huyo nimekuachia. Nlishamalizana naye siku nyingi sana.
Afu na wewe nini kimekuleta huku? hii thread si yako.
Mi ndo mwenyekiti wa mods wagawa ban. Kama wewe naweza kukulima ban mpaka kwenye seva kama utakuwa upande wa utafiti kwenye huu mtongozo rasmi.
Sa ngapi tunaenda kusugua gaga, nikarushe wowowo siku iishe.....
Hongera yaan muda mfupi tu hivyoo hayaa,uzurii utaandika tenaaa humuu
Baba mkwe unaniweka mtegoni, mtoto wako akiona hapa italeta matatizo kwenye familia yenu.
Kwa ba mkwe ni heshima tu hahahaaa
Dah!!!! Naona tunatishana sasa, basi ngoja niwe mpole. But ninahasira na wewe sana uliniuzia mbuzi kwenye gunia halafu ukasepa. Anyway mbona kama inaonekana huyu binti miss neddy hakutambui wewe isipokuwa utafiti?
huyo nimekuachia. Nlishamalizana naye siku nyingi sana.
Sa ukiniona nalirusha hiyo roho si itachomoka?
○○○#hahhahaaaaaaa ....Babu mkali kweliiiiii....leo mie mtazamaji....kazi kubwa hapa kweli...!!!