Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
Sijasema mimi, bali mpenzi wangu wa moyoni miss neddy. we anakupaka shombo samaki ananipa mimi.
aiseeeeeeeeee naomba king asipite mitaa hii babu cheza kwa step
Last edited by a moderator:
Sijasema mimi, bali mpenzi wangu wa moyoni miss neddy. we anakupaka shombo samaki ananipa mimi.
weka picha.
Ni heri uichukue miguu yangu na mikono
Mmmhhhh mi cha kurusha ni hicho tu huku nyuma na flat nchi 24
miss neddy hebu njoo nishushe pressure nisije nikam4 mtu saivi
Babu shikamooo.!
Naomba kuuliza kama huyu binti kaisha kaguliwa na kupewa usajili wa kudumu?
Kama kawaida yake lazima atakupiga changa la macho.
This is tooooo much ...sio ma.layaaa tuu imezid jaman haaa
Mpaka sasa nhsi naota
..
...Eti anaota...THNX.. ICHANA...yaani kuna watu are walking while DEAD ..huyu yumo...anawachafua wanawake huyu...eti kanaota...harlot at her best...!!! huyu wala sio maharage ya mbeya...huyu maharage yameoza huyu...!!!
aiseeeeeeeeee naomba king asipite mitaa hii babu cheza kwa step
Usijali utafiti hajui kuusoma mwandiko wako.
Bado mtoto msameheni, msimchukulie kivile.This is tooooo much ...sio ma.layaaa tuu imezid jaman haaa
Mpaka sasa nhsi naota
Uwiiiii
What???? Naota au??? miss neddy haya umeandika wewe?
Na bado hujasoma mengine. nshakwambia mi na miss neddy hatujakutana gengeni.
Hahah his excellency naona umeamua kumtolea uvivu huyu mwana mtoka pabaya.
Asante miss neddy mi naomba tu unirudishie ile iphone yangu, full stop