Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,522
Ni kweli ukishindwa unayaachia njia yake yasafiri yatakakoMaji hayazuiwi kwa mikono lakini
Jr
Ni kweli ukishindwa unayaachia njia yake yasafiri yatakakoMaji hayazuiwi kwa mikono lakini
Jr
Mkuu ungemwambia tu huna muda umebanwa na kazi!Kwanza hii ndoa ndio ina miezi 9,
Sasa huyu mwanamke ana dada yake sijui ana biashara za vitu gani anavifuataga huko mkoani nakuja kuviuza dar.
Sasa toka jana ananiambia eti dada amebanwa kwa hiyo ameniomba nimfuatie biashara zake mkoani narudi baada ya siku 2!
Aisee, nikichek mazingira yenyewe anayoenda siyajui,!
Nmemwambia usirudie tena kuniambia huu upuuzi, kama ni undugu na ufe tu kwakweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo mm mkuu, yani huyo dada mtu kamuomba mdogoake amfuatie huo mzigo mkoani
Mkuu bado mapema sana kumuwazia hivyo, lkn hili la kuanza kutumwa kana kwamba hana mume ndio limenishangazaNdoa bado imeandikwa kwa penseli we vumilia tu kama ulimuoa kivodafasta bila kujua tabia zake ndo kaishaanza kukunjua makucha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kiongozi kwa ushauriDon't trust any body until you confirm he/she is OK. Hebu mnunulie simu mpya iseti auto record kisha tengeneza special lock ikijirekodi inajilock automatic.
Siku yake ichukue simu pitia audio zote.
Mkuu bado mapema sana kumuwazia hivyo, lkn hili la kuanza kutumwa kana kwamba hana mume ndio limenishangaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha labda tuliite jaribio jepesi maana huko mbele si mchezo..yani hili ndio JARIBIO unaliita? mkuu safari yako huko mbele ni ngumu sana ...Muombe Allah akufanyie wepesi kabisa
Atakufa kwa presha!Don't trust any body until you confirm he/she is OK. Hebu mnunulie simu mpya iseti auto record kisha tengeneza special lock ikijirekodi inajilock automatic.
Siku yake ichukue simu pitia audio zote.
Ok nimekuelewa umefanya vyema mkuu hao nao huwa baadaye unakuta kumbe wanayaoSiyo mm mkuu, yani huyo dada mtu kamuomba mdogoake amfuatie huo mzigo mkoani
Sent using Jamii Forums mobile app
ha..ha..kweli kabisaHahahaha labda tuliite jaribio jepesi maana huko mbele si mchezo..
Au unaonaje Mkuu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo jamaa ni my all time favourite Actor.. Vizuri kujua your a Fan fam.