Nagu: We're killing our industries by buying foreign products

Tuliviua viwanda vyetu vilivyojengwa enzi za Mwalimu kwa UBADHIRIFU na UFISADI na sio kwa kununua bidhaa za nje kama anavyosema Mama Nagu ambaye nilitarajia anafahamu zaidi jinsi viwanda vyetu vilivyofilisika kwani kabla ya kuwa mwanasiasa alikuwa mkurugenzi kwenye kiwanda kimojawapo kule Morogoro ambacho aliacha kinakufa. Watanzania walijivunia sana vitenge na khanga za Urafiki na Mwatex. Bia ya safari ilipendwa na kunyweka sana, kahawa na chai ya TTB haikuwa na mpinzani.....

There you are! History and facts are always good! We said 'welcome globalization' today we are crying. This situation is irreversible; the only way is to have competent service, manufacture, and heavy and high-tech industries. This does not come by blah-blah we have to have brains and committed leaders.
 
Exactly. Same old crap, a lot of talk but what policies are in place to support Tanzanian industries and encourage Tanzanians to buy Tanzanian products.

True that!!

Tatizo kubwa Tz hatutaki ku-raise bar ya performance, halafu we want protection while we are below the standard in most of production industuries. I read one article from the Citizen written by MIchael Shilla of FCC about importaing products versus local production, he has a good point and i wish he could dig deeper to reveal the cost associated with improving quality etc.

Pamoja na kuwa na sababu lukuki, i think ni bora tufungue mipaka na viwanda vyetu vipambane tu

Tumeona kwenye wine, beer, spirits, mabati, sugar, paints, furnitures etc kwamba inawezekana kupambana na bidhaa za nje pamoja na matatizo tuliyo nayo kama watu watakuwa serious

i beg to differ with Mama Nagu
 
Nili kubaliana na wewe mkuu. What I said haikuwa kupingana na hoja zako bali kuongezea tu. Thats why kwenye post nikasema nakubaliana na wewe. The way ulivyo jibu ni as if tuna pingana mkuu.

NI sawa tu hata kupinga, as long as you have a valid point manaFA
 
Angalia serikali ya CCM walivyo wa hovyo....maofisi yote wamejaza furnitures za india na kwingineko...halafu wana tulaghai eti tupende bidhaa zetu ilihali wao wenyewe hawazipendi. Tena ukishauri kununuliwa vifaa vilivyo tengenezwa TZ unaambiwa zina gharama kubwa, lakini hapo issue ni 10%.

True mkuu, hao wa vyama vingine wamejaza fenicha zipi? ...cant we raise our products quality Bar?
 
Mama ameongea kama wimbo mzuri tu anaoimba mtu yeyote lakini hajui maana yake! Ziko nyimbo nyingi tu tunajua ni nzuri tunazipenda lakini hatujui maana yake kabisa!
Hicho ndicho anacho kifanya huyu waziri, anajua hizo kauli zina pendeza masikioni mwa watu,.
Lakini ni kauli tupu, tupu kabisa ambazo wala hazina mikakati yoyote ya kuhakikisha hayo yaliyosemwa yanatekelezwa, na yeye mama anajua kuwa kaongea tu, kwani naamini hata yeye kichwani ukimuuliza kuna mkakati gani,utekelezaji, usimamizi wake wa kuhakikisha kuwa alichokisema kinafanyika, HAJUI! wala hatakaa ajue ndiyo aina ya viongozi wetu hawa, wanaongea tu kama kasuku vitendo hamna! Pole kwetu!
 
Ok, namuunga mkono. Haya ndiyo mambo ni sort of ,yeyote anayejiita kiongozi anatakiwa awe anayaongelea day in day out, sio mambo ya Busanda sijui kamati kuu sijui blah blah..these stuffs will not get us anywhere.

Ninachokifikiria siku zote umaskini wa watz ni kukosekana kwa watu wanaoujua wapi pa kuvunja poverty vicious cycle. Kwa mawazo yangu mojawapo ambapo watz tunaweza vunja cycle ni ku-empower watu wa chini na wa kati. Wawe ni wafanyabiashara, wakulima, mafundi, etc ambao wanauza bidhaa au huduma ya namna yeyote ktk kuendesha maisha yao. Usipowafikia hawa takwimu serikali za ukuaji uchumi blah blah ni bure na useless.

Hebu fikiria tungeokoa fedha ya kigeni kiasi gani kwa kutengeza bidhaa za kawaida kabisa za mazao ya kilimo kukidhi soko la ndani na hata nje? Au tungekuwa wapi iwapo wakulima wangeuza unga uliopakiwa vizuri badala ya mahindi? Tungeajiri watu wangapi kwa ku-process malighafi zetu.

Yes, it is the empty tin that sounds loudly.
 
Exactly. Same old crap, a lot of talk but what policies are in place to support Tanzanian industries and encourage Tanzanians to buy Tanzanian products.
suala sio policy za kusupport bali willingness na capacity za wanaosimamia hizo sera..
nchi yetu hii tatizo la ukosefu wa watu makini na mfumo wa wazi wa uwajibikaji katika kuleta maendeleo ya taifa.

kwa mfano kama SIDO utendaji wake unakwamishwa na wanaoliongoza na wanaolisimamia(wizara).. hatuwezi kuwa na mawazo mgando katika kuleta maendeleo ya karne hii..
baada ya miaka zaidi ya 30 shirika kama SIDO serikali haioni umuhimu wa kuwa na vision mpya kuendana na mahitaji ya sasa...

hatutasogea kama hatutabadili mfumo wa kuongoza taasisi zetu na uwajibikaji ulio wazi katika kuleta maendeleo.
tumeuwa mashirika yetu kabla ya kuyauza kwa mtindo huo ambao kiurahisi ndo twauona una makosaaa...je kwa nn hatuhoji kufa kwa mashirika kama NMC, UFI, RANCHI, TAMCO, VIWANDA VYA NGUO KILA MKOA, USINDIKAJI, NK NK.....

LAZIMA KAMA TAIFA TUTAMBUE UDHAIFU WETU UKO WAPI NA KILA MMOJA ANASHIRIKI VIPI KUJISAHIHISHA ILI TUPIGE HATUAAA..

NAGU ATAENDELEAA NA KAULI YA KULAUMUU ILA KUHAMASIKA NI MUHIMU ILI KUBADILIKAAAAA...
 
Nimeona kuna wadau wanadai kuwa bidhaa za ndani hazikidhi viwango. Inaweza ikawa ni kweli kuwa baadhi ya bidhaa hazina viwango. Wakati tunatafakari hili tujiulize pia iweje bidhaa zisizokidhi viwango kutoka China, Taiwan na India vinawezaje kuingia humu nchini.

Ukweli ni kuwa hakuna udhibiti wa kutosha, na usipodhibiti vyema hata kutengeza bidhaa zetu wenyewe zenye viwango vya juu bado haitosaidia kitu. Hapo ndio maana kila siku Uchina inakuwa matatani na Marekani, maana US inaelewa bidhaa genuine haziwezi ku-compete na kuwin against bidhaa famba kwenye soko lilelile.

Kuhusu viwango duni vya bidhaa zinazozalishwa nchini huwezi kutegemea maajabu wakati kila kitu kipo shakalabaghala. Framework-wise na infrastructure zipo ICU. Kwa sababu serikali yenyewe haijali...haina mikakati na inaishi kwa kudra tu. Wafanyabishara wadogo hawana network ya maana zaidi ya biashara za kubahatisha. Walaji wenyewe choka mbaya, purchasing power ina range from zero to none.

Kuna point nyingine imejitokeza kuhusu utandawazi. Ni kweli kwamba serikali yetu kwa kukosa visheni au kukimbilia mambo kwa staili ya kuiga imejikuta ime-stack kwenye mtego wake wenyewe. Kwamba je iruhusu uchumi wa nguvu za masoko bila mipaka au iwaangalie kidogo na raia wake wasiachwe nje? Hii ni dilemma ambayo haikuwa necesary in first place kwa sababu ni wazi nchi yetu ni changa mno, haipo tayari ku-compete kihivyo. Nchi ambayo haiwezi hata kujitosheleza kwa viberiti au hata nyembe..ilitakiwa kwanza iweke misingi ku-empower wananchi wa kada za kati na chini..wakulima, wafugaji, wafanyabiashara, etc ambao ni wengi nchini, at least wawe wamefikia mahala flani pa kuanzia. Hapo ndo mnaweza kuanza kufikiria big time and international kama sio global.
 
Kwa kiasi fulani namuunga mkono Mary, kutoa mfano kuna siku nilipita Nairobi na kutaka kupata kinywaji (bia), aina ya bia niliyoichagua yule mkenya alinishangaa sana, akaniambia hapa kenya bia ni Tusker tu, na kweli mkenya humwambii kitu. Sasa njoo tanganyika, mtu akipata Heineken, Turbog, Windhoek etc anaona eti yupo juu zaidi ya mnywa safari au kilimanjaro. Kwa hiyo kuna hiyo "wrong culture" ya kupenda vya nje.

Kwa upande wa pili, naona ubora wa bidhaa zetu na gharama (bei) pia ni tatizo. Utakuta bidhaa inaagizwa kutoka SA, China, Taiwani, UAE etc. pamoja na kodi zoooooote zilizopo bado ni rahisi kwa bei kuliko bidhaa iliyozalishwa bongo. Mary alitakiwa kwanza awahimize wenye viwanda kuongeza ubora na kupunguza gharama ili waweze kushindana na bidhaa za nje. Inatakiwa mkakati hasa kuweza kubadilisha buying culture ya mtanganyika na sio hotuba ambayo babu yangu kule kijijini haielewi.
 
Bidhaa ikiwa nzuri, bei inayokubalika, imefungwa vizuri, imetangazwa inavyopaswa, inapatikana inapotakikana, inaenda na wakati, mteja atainunua bila kujali imetoka wapi! Tuache kuwaona watanzania kuwa limbukeni na kuheshimu matakwa yao!

Amandla.......
 
The Minister for Industries, Trade and Marketing, Dr Mary Nagu has called upon Tanzanians to value local agricultural and mineral products to boost the country’s economy.

Dr Nagu made the call over the weekend during the opening of the 7th exhibition for small and medium entrepreneurs held here.

She said that if people would change their mindset and start buying local products the economy would grow and more job opportunities would be created.

The minister said a good number of local business people have been travelling to Asia and elsewhere to buy clothes for the local market.

“Many claim that our products are substandard and hence they import from China, Taiwani and elsewhere.

This is wrong because we are killing our industries and denying the government its revenue,” she said.

Dr Nagu said Tanzanian products were better than most of the imported ones.

“The truth is that our agricultural and mining products are of high quality and they meet international standards,” she said.

“We are now building our economy. But this can only be done if Tanzanians value and buy local products,” the minister said.

Dr Nagu said the government through Small Industry Development Organization (SIDO) would continue to provide loans to small scale entrepreneurs to enable them strengthen their businesses.

Manyara Regional Commissioner, Henry Shekifu said SIDO had spent 380m/- to assist small scale entrepreneurs.
The exhibition was organized by SIDO.

THE GUARDIAN

The minister has to walk her talk; some of us are tired of these good stories which do not bring a meal of a day in our plates! Haitoshi kusema watanzania fanyeni hivi bila waziri kuwaongoza katika kufanya through appropriate strategies and realistic policies. Watanzania wajasiria mali wamewezeshwaje ku endeleza uzalishaji wa bidhaa za kitanzania; viwanda viko mikononi mwa watu gani na vinafanya nini katika kuendeleza uzalishaji wa bidhaa za kitanzania; Kiwanda kama cha UFI ni wakulima wangapi wa Tanzania walipata share kilipo binafsishwa kama kime binafsishwa any way hata kama bado je kiko wapi na kinafanya nini?; Viwanda vya Tanaries wafugaji wangapi wana share pale na kinafanya nini?; viwanda vya bia ni wakulima wangapi wa ngano walipewa share pale etc etc na kuna mkakati upi wakuwasaidia kupata shares ili walime ngano huku wakijua pakuuza as stakeholders au kuna contract gani kati ya wakulima na wazalishaji na ni watu gani wanazo hizo contracts, je hakuna sort of monopsony kwa sababu ya buyer kuwa mmoja and what are the intervention policies to avoid such things. Biashara inayofanyika ni ya bidhaa za wapi je incentives gani zipo katika ku promote bidhaa za ndani etc etc unless you show the way otherwise we will hold you responsible. Utaona tu nguo sijui za batiki and so on ndo zinakuwa promoted lakini viwapi viwanda vya bora shoes, nguo nzuri za cotton hata kama hatuna uwezo wa kutengeneza nguo basi nyuzi na ngozi tuziuze nje kwakuanzia na tushirikishe watanzania wengi si wajanja wachache katika uzalishaji. Hii itaweka uchumi mikononi mwa watanzania na wao wakiwa part of producers watapenda pia ku consume as this gives them incentives to do so as its for their own welfare na serikali itakuwa na walipa kodi wa uhakika.
 
The Minister for Industries, Trade and Marketing, Dr Mary Nagu has called upon Tanzanians to value local agricultural and mineral products to boost the country’s economy.

Dr Nagu made the call over the weekend during the opening of the 7th exhibition for small and medium entrepreneurs held here.

She said that if people would change their mindset and start buying local products the economy would grow and more job opportunities would be created.

The minister said a good number of local business people have been travelling to Asia and elsewhere to buy clothes for the local market.

“Many claim that our products are substandard and hence they import from China, Taiwani and elsewhere.

This is wrong because we are killing our industries and denying the government its revenue,” she said.

Dr Nagu said Tanzanian products were better than most of the imported ones.

“The truth is that our agricultural and mining products are of high quality and they meet international standards,” she said.

“We are now building our economy. But this can only be done if Tanzanians value and buy local products,” the minister said.

Dr Nagu said the government through Small Industry Development Organization (SIDO) would continue to provide loans to small scale entrepreneurs to enable them strengthen their businesses.

Manyara Regional Commissioner, Henry Shekifu said SIDO had spent 380m/- to assist small scale entrepreneurs.
The exhibition was organized by SIDO.

THE GUARDIAN

The minister has to walk her talk; some of us are tired of these good stories which do not bring a meal of a day in our plates! Haitoshi kusema watanzania fanyeni hivi bila waziri kuwaongoza katika kufanya through appropriate strategies and realistic policies. Watanzania wajasiria mali wamewezeshwaje ku endeleza uzalishaji wa bidhaa za kitanzania; viwanda viko mikononi mwa watu gani na vinafanya nini katika kuendeleza uzalishaji wa bidhaa za kitanzania; Kiwanda kama cha UFI ni wakulima wangapi wa Tanzania walipata share kilipo binafsishwa kama kime binafsishwa any way hata kama bado je kiko wapi na kinafanya nini?; Viwanda vya Tanaries wafugaji wangapi wana share pale na kinafanya nini?; viwanda vya bia ni wakulima wangapi wa ngano walipewa share pale etc etc na kuna mkakati upi wakuwasaidia kupata shares ili walime ngano huku wakijua pakuuza as stakeholders au kuna contract gani kati ya wakulima na wazalishaji na ni watu gani wanazo hizo contracts, je hakuna sort of monopsony kwa sababu ya buyer kuwa mmoja and what are the intervention policies to avoid such things. Biashara inayofanyika ni ya bidhaa za wapi je incentives gani zipo katika ku promote bidhaa za ndani etc etc unless you show the way otherwise we will hold you responsible. Utaona tu nguo sijui za batiki and so on ndo zinakuwa promoted lakini viwapi viwanda vya bora shoes, nguo nzuri za cotton hata kama hatuna uwezo wa kutengeneza nguo basi nyuzi na ngozi tuziuze nje kwakuanzia na tushirikishe watanzania wengi si wajanja wachache katika uzalishaji. Hii itaweka uchumi mikononi mwa watanzania na wao wakiwa part of producers watapenda pia ku consume as this gives them incentives to do so as its for their own welfare na serikali itakuwa na walipa kodi wa uhakika.

Fellow JF member our leaders can only talk the talk but a very few can work the walk. Uki fuatilia wanayo hubiri na uka fuatilia na matendo yao unge ona wanavyo jicontradict. Siasa za jukwaani tuna ziweza sana lakini matendo sasa hapo ndiyo kazi.
 
Ha ha ha haaaaa - just imagine you see a Minister preaching - TUENZI BIDHAA ZETU - halafu AMEVAA SUIT - NGUO KUTOKA CHINA - its very funny and strange

Wapunguze hizo riba kwenye mabenki - wajasiriamali wakope watengeneze bidhaa nzuri, zenye viwango - na finishing nzuri inayovutia ili bidhaa zinunuliwe kwani huu ni ulimwengu wa ushindani, wafundishwe or wajifunze how to export our products (wajasiriamali wadogo wadogo) Pia
Bidhaa za nje zitozwe kodi kubwa na kodi za bidhaa zetu zishushwe ili WTZ wawezeshwe jamani -
Waziri atembelee viwandani - wajisiriamali etc. aone kwa macho - sio anaongea tu wakati hajaona - au anaandikiwa speeches etc. kwa kweli ITS HIGH TIME WE TRIED ARMY RULE - VIONGOZI WETU USWAHILIIIIIIII MWINGI - MANENO MENGI - WATOTO WAO WANASOMA NJE, WANAFANYA KAZI NJE - KAMA WANAENZI TAIFA MBONA WASIWAACHE HAPA HAPA NCHINI? OUR LEADERS ARE NEVER SERIOUS - WANAONGEA MENGINE NA MATENDO YAO MENGINE - GOD HELP TANZANIA
 
Ha ha ha haaaaa - just imagine you see a Minister preaching - TUENZI BIDHAA ZETU - halafu AMEVAA SUIT - NGUO KUTOKA CHINA - its very funny and strange

Wapunguze hizo riba kwenye mabenki - wajasiriamali wakope watengeneze bidhaa nzuri, zenye viwango - na finishing nzuri inayovutia ili bidhaa zinunuliwe kwani huu ni ulimwengu wa ushindani, wafundishwe or wajifunze how to export our products (wajasiriamali wadogo wadogo) Pia
Bidhaa za nje zitozwe kodi kubwa na kodi za bidhaa zetu zishushwe ili WTZ wawezeshwe jamani -
Waziri atembelee viwandani - wajisiriamali etc. aone kwa macho - sio anaongea tu wakati hajaona - au anaandikiwa speeches etc. kwa kweli ITS HIGH TIME WE TRIED ARMY RULE - VIONGOZI WETU USWAHILIIIIIIII MWINGI - MANENO MENGI - WATOTO WAO WANASOMA NJE, WANAFANYA KAZI NJE - KAMA WANAENZI TAIFA MBONA WASIWAACHE HAPA HAPA NCHINI? OUR LEADERS ARE NEVER SERIOUS - WANAONGEA MENGINE NA MATENDO YAO MENGINE - GOD HELP TANZANIA

This can be against trade rules as we are in the era of trade liberalization. Lakini hii haimaanishi hatuwezi kuwa na internal policies kuwawezesha watanzania ku produce tatizo ni kuwa watu wengi hawakuwezeshwa kumiliki viwanda wakati wa ubinafsishaji nw waliovichukua wameshindwa kuviendeleza so kwanza imepunguza ajiri pili imekosesha mapato serikali through taxes. Kila mara nasema kuhusu ubinafsi wetu as had it been kungekuwa na participation in production hivi viwanda leo vingekuwa vime advance katika production in quantity and quality any way past past let us think of present kama kutakuwa na genuine efforts to involve majority in production through labour intensive approach instead of capital intensive mode ambayo tuna ng'ang'ana nayo bado we can make it. tatizo liko pande zote wataalam tuna shy away; wanasiasa wana maximize political objectives zao ambazo ni votes na walio baki ambao ni wengi hawajui wafanye nini for nobody think of them yet they can not help themselves due to them being in a large group which is unorganized with various objectives and at different classes of income levels. Kwa ujumla ni tatizo la society na si viongozi wala any body. Wote tukiwaza hivi na tukakubali kubadilika badala ya kulaumu na kutafuta mchawi haya ya ndani tutayapunguza yatabaki ya nje ambayo pia yameshiriki kutufikisha hapa tulipo.

Who is to start the move I personaly think the leaders who are now in power waache uwoga if they do it rightly nobody will penalise them for truth will peak for them and will therefore be protected. wakubali kubadili mfumo Katiba is one; second opposition iwe strangthened ili tuweze kuwa na genuine monitoring and evaluation systems itakayo pelekea kila mtu kuwa responsible kwa majukumu yake na unapokosea basi unapata haki yako unayostahili.
 
Back
Top Bottom