Labda kama makamanda wa kweli waliyojenga hilo jimbo wawe wamekufa, siyo nyie malaika mnaodondoka siku za mwisho, Mwanga hatufanyi kura za maoni kama mlitegemea kuja kununua wajumbe imekula kwenu mpaka sasa tunamjua kama mmoja tu.
Anayepiga kazi usiku na mchana kwa vitendo siyo nyie wapiga kelele, toka vijiji 0 mpaka vijiji 6, toka vitongoji 2 mpaka 19. Hii yote ni kazi ya kamanda Kileo nyie mlikuwa wapi muda huwo? Demokrasia inahitajika lakini hakuna Demokrasia isiyokuwa na wajibu.
Toka 2011 mpaka sasa Kamanda yupo mzigoni kwani sisi hatumuoni? Tuje tuwaone nyie malaika wa leo?
Acha kupoteza muda wako wapare wanataka mabadiliko siyo nyie wapiga ramli ambao mmejiandaa kutuuza.