Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Kwasasa wabunge tunataka wazawa wewe kagombee kwenu kwa kinasokoine.
We sokoine si mmasai wewe? Mwanga ni kwa wapare
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha duuuuWewe mbunge wetu ni Henry Kilewo.... Acha kudandia gari kwa mbele
mkuu chadema nimeanza kuijenga tokea nikiwa chuoni kwenye tawi la vijana,sasa sijui ww msaad wako kwenye chama ni upi?
Cdm sahauni Mwanga.Hatutawaliwi na vilaza sisi.
Nadhani anayesema Maghembe hatoki haijui hali ya mwanga kwa sasa Maghembe is no more labda ccm wampitishe Tadayo ushindani utakuwa mkubwa...Na anayesema Maghembe ana mtaji wa kura labda anawaza miaka kumi iliyopita sio leo
fanyan mpango huyo Tadayo avue magamba na avae magwanda
Kumtoa Maghembe pale inahitajika nguvu ya ziada kwani ana mtaji wa kura zaidi ya asilimia 85.
Halafu ktk hili jimbo wapiga kura wengi ni wazee na wamama.Vijana ni asilimia ndogo sana.Jaribu bahati mkuu lakini anza kujiimarisha mapema manaake ile ni ngome ya CCM.
habar wana Jf,jimbo la mwanga ni jimbo ambalo lipo mkoa wa kilimanjaro limetawaliwa na ccm miaka yote kwa uwezo wangu nilionao vijana na wakinamama wameniomba nigombee ubunge katika jimbo hili kwa tiketi ya cdm,hakika jimbo hili linahitaji kijana ambaye ni compitient ili aweze kuwatoa sumu ambayo wananch wamepandikizwa,nayafaham vizur matatizo ya jimbo,mbunge wa sasa pro.magembe amekuwa mzigo katika jimbo hili.nakaribisha ushauri wenu
kileo tosha
habar wana Jf,jimbo la mwanga ni jimbo ambalo lipo mkoa wa kilimanjaro limetawaliwa na ccm miaka yote kwa uwezo wangu nilionao vijana na wakinamama wameniomba nigombee ubunge katika jimbo hili kwa tiketi ya cdm,hakika jimbo hili linahitaji kijana ambaye ni compitient ili aweze kuwatoa sumu ambayo wananch wamepandikizwa,nayafaham vizur matatizo ya jimbo,mbunge wa sasa pro.magembe amekuwa mzigo katika jimbo hili.nakaribisha ushauri wenu
ki ukweli maghembe mwepesi tu. Tukikomaa vizuri CDM tunashinda hili jimbo asubuhi. Mi nasubiri kuapishwa tu Diwani mtatajiwa wa Kata mpya ya MwangaMjomba nini mategemeo yako kwenye uchaguzi ujao.
Kwasasa wabunge tunataka wazawa wewe kagombee kwenu kwa kinasokoine.
habar wana Jf,jimbo la mwanga ni jimbo ambalo lipo mkoa wa kilimanjaro limetawaliwa na ccm miaka yote kwa uwezo wangu nilionao vijana na wakinamama wameniomba nigombee ubunge katika jimbo hili kwa tiketi ya cdm,hakika jimbo hili linahitaji kijana ambaye ni compitient ili aweze kuwatoa sumu ambayo wananch wamepandikizwa,nayafaham vizur matatizo ya jimbo,mbunge wa sasa pro.magembe amekuwa mzigo katika jimbo hili.nakaribisha ushauri wenu
Una maana "Compitient = Competent" kwa uelewa huu kweli utatoa ushindani kwa Prof.Magembe au ndo style ya vijana (wagombea) ikifikia time za mwisho unajitoa na unajisalimisha kwa kuomba ufadhili kwa mpinzani wako ili kwenda kusoma ??? you need to rethink about your suitability (weakness) for the post and your competitor's strenghs;
Vinginevyo ni UKAWA Kulipoteza Jimbo kwa CCM bila sababu za Kimsingi.
Hakuna mahali popote pale duniani ambapo wazee ni asilimia kubwa kuliko vijana. Labda kama ndoa za huko kwenu hazikutoa matunda. Maana kila familia wanandoa wawili watazaa watoto, hivyo vijana watakuwa wengi tu. Hii ni kuhusu taarifa
Naomba utulize kichwa na usome nilichokiandika kwa umakini.Kisha rudi u-reply.