Jimmy ally
Senior Member
- May 11, 2017
- 156
- 276
Habari waungwana... Moja Kwa Moja.. Uliponunua wine mfano dompo na ukaenda nayo mbali sehem hv au kijijin ili ukifka uko uenjoy.. Ile Time inafika kuangalia opener huna. Ulitumia njian gan kufungua??
Tafuta mwiko au chochote kile sukumia ile cork kwa ndani....its easier kuirudisha ndani kwa kusukuma.Habari waungwana... Moja Kwa Moja.. Uliponunua wine mfano dompo na ukaenda nayo mbali sehem hv au kijijin ili ukifka uko uenjoy.. Ile Time inafika kuangalia opener huna. Ulitumia njian gan kufungua??
SawaNilitoboa na msumari kile kizibo aise japo kuna vilivyoangukia ndani.
KumbeTafuta mwiko au chochote kile sukumia ile cork kwa ndani....its easier kuirudisha ndani kwa kusukuma.
Habari waungwana... Moja Kwa Moja.. Uliponunua wine mfano dompo na ukaenda nayo mbali sehem hv au kijijin ili ukifka uko uenjoy.. Ile Time inafika kuangalia opener huna. Ulitumia njian gan kufungua??
Nilitoboa na msumari kile kizibo aise japo kuna vilivyoangukia ndani.
Sawa
Kumbe
Bora ungebeba konyagi au Kvant 😂😂😂
Unaweza ukatumia lighter iwashe choma kwa nje pembeni ya kwa juu ya mdomo
Kizibo kitapanda taratibu juu yenyewe
Unaweza pia ukatumia funguo ichomeke juu izame, anza kuzungusha huku unaifungua
Ova
Kwakweli nimeamini burudani ni gharama na headache 🤣🤣Unaweza pia pigilia screw juu ikizama,tumia uma kuivuta screw kizibo kishatoka
Mbinu nyingi tu mbn za kilevi
Ova
Sukumia kwa ndani...😲🙄Tafuta mwiko au chochote kile sukumia ile cork kwa ndani....its easier kuirudisha ndani kwa kusukuma.
Tafuta mwiko au chochote kile sukumia ile cork kwa ndani....its easier kuirudisha ndani kwa kusukuma.
Sukumia kwa ndani...😲🙄
Chupa ya wine hata kwa nyuma ukiweka sponchi ukawa unaigonga kwa kwa nyuma kwenye gogo kizibo kitapanda tuKwakweli nimeamini burudani ni gharama na headache 🤣🤣
Shida vijana skuizi wanaandika kiswahili tatanishi, yaani lugha yao imechangamka sana...teh😝😜🤣🤣🤣🤣🤣🤣 taratibu basi Mkuu aste aste lol! Hahahaha
Wine ya fundo au ya kizibo?Habari waungwana... Moja Kwa Moja.. Uliponunua wine mfano dompo na ukaenda nayo mbali sehem hv au kijijin ili ukifka uko uenjoy.. Ile Time inafika kuangalia opener huna. Ulitumia njian gan kufungua??
Shida vijana skuizi wanaandika kiswahili tatanishi, yaani lugha yao imechangamka sana...teh😝😜
Hili neno cock itabidi niliangalie kwenye urban dictionary yakimarekani maana ulivyolielezea unaelekea uu mjuzicork kwa ndani
Uko wapi nije kukusaidiaHabari waungwana... Moja Kwa Moja.. Uliponunua wine mfano dompo na ukaenda nayo mbali sehem hv au kijijin ili ukifka uko uenjoy.. Ile Time inafika kuangalia opener huna. Ulitumia njian gan kufungua??