Nafundisha Marubani kienyeji

Halafu nshakujua..........wewe ni huyo hapo kulia..........
siku nyingine usipande hizo ndege kama una presha ya turbulance utakufwa you know............me I don't like them panzi........
Preta ....za masiku aisee, Chuga hawajambo huko? Mi nilikaa hapo nyuma ya Pilot
 
Last edited by a moderator:
zile za icao hazitabadilika from alfa to zulu na nyinginezo za kitaalamu,sehemu ya maelezo nitatumia kiswahili,chombo ni cessna 150 hii ni kumpeni mwanga halafu akutaka kuendelea unasogea kwenye shule rasmi.mkuu kuhusu cv yangu usijali,mie ni mkongwe toka enzi za east africa airways na kina capt.uriyo
 

Baelezeee
 
hiyo ndege ni yanani? kama ni yako ulitoa pesa wap? Kama ni ya taasisi kwanini unataka kuwafilisi? Maana naamini cku mwanafunzi wako akirusha ndege bac atatokomea hewani mazima.
shehe ndege hii ni gharama nafuu kuliko coaster
sikununua mpya
 
acha uongo wa kipumbavu wewe,ndege haiwezi kupitisha maji wakati mkiwa angani wakati wa mvua,then mkabaki salama,imekuwa fuso hiyo? Ndege hata dirisha tu halitakiwi kufunguliwa,kuna hewa ndani ya oxgen maalumu,sasa hayo maji yalipita wapi?
inapitisha mkuu,tumelenga videge vidoko a.k.a panzi......
 
mkuu, mkiwa kule juu any object kama vile maji au hewa kiingia ndani ya ndege ni msala. Yaani hamtotoka salama
kwa ndege hizi kila kitu chaingia wala hakuna msala,tena dirisha unaweza kufungua na kufunga.
 
mkuu gharama ya mafunzo ni bei gani au dola ngapi, maana tusije tukasumbuana tu baadae
 
kwa ndege hizi kila kitu chaingia wala hakuna msala,tena dirisha unaweza kufungua na kufunga.
Bora usaidie kujibu haya mambo manake hawa watu sijui wanaifikiriaje ndege yaani, hawajiongezi kabisa aisee!! Its shame
 
Na hicho ndo kidirisha kikichovuja maji...ukizoom vizuri utaona matone kwa pale chini...sasa ukiendelea kubisha nitakudharau sana!! wiseboy


Mkuu Sizinga nimekukubali dawa ya mijitu mibishi unaipa mifano kama hyo daaah ndege ka muembe
 
Last edited by a moderator:
Bora usaidie kujibu haya mambo manake hawa watu sijui wanaifikiriaje ndege yaani, hawajiongezi kabisa aisee!! Its shame

Aise Sisinga,kweli bora wewe umetoa ushuhuda,wazushi woote kimyaaaa

Maaana wengine wana zile hadithi za utoto kwamba Ndege ikifunguka dirisha lazima watu wote wafe.

Mbona kuna Ndge Zanzibar yenyewe ilifunguka Mlango kabisaaa,na watu walitua.

Hivi vi Cessna,mie nilipanda mara moja naenda Pemba nikasema sirudii teeena.
Kwanza ukishuka kwenye hivi vindege kama dakika kumi hivi hamuelewani,maana unasikia kelele za ndege bado zimo kichwani.Ukilala usiku ndio kabisaaaa unaonaka kama injin ipo kichwani.

Yaani kama sio kuanzi ATR na kuendelea basi hunipandishi,vinatisha saaana angani.
 

Ha ha ha........wisky alpha papa echo november alpha kilo india tango uniform charlie hotel alpha .........charlie echo siera siera november alpha 208.............wafurahi........
 
ha ha ha........wisky alpha papa echo november alpha kilo india tango uniform charlie hotel alpha .........charlie echo siera siera november alpha 208.............wafurahi........
november oscar tanga echo delta mike alpha delta alpha mike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…