johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,875
Nakumbuka ziara moja ya hayati Magufuli mkoani Mbeya wakati Sugu akiwa mbunge, Shujaa alimpa kipaza sauti mbunge ili asalimie Wananchi basi Sugu akapanda kwenye gari ya Shujaa na moja kwa moja akaanza kueleza matatizo yanayoikabi Mbeya nzima katika ujumla wake
Leo Rais Samia anatoa Fursa kwa Wabunge tena anawaambia kabisa " Nielezeni matatizo ya Wananchi mnaowawakilisha" yaani hawa Wabunge ni weupe kabisa wao wanaanza kusifia Viongozi wa CCM wilaya na Mkoa
Wabunge wa Mbeya safari hii sijui walichaguliwaje wallah!!
Leo Rais Samia anatoa Fursa kwa Wabunge tena anawaambia kabisa " Nielezeni matatizo ya Wananchi mnaowawakilisha" yaani hawa Wabunge ni weupe kabisa wao wanaanza kusifia Viongozi wa CCM wilaya na Mkoa
Wabunge wa Mbeya safari hii sijui walichaguliwaje wallah!!