nilimdate m2 nakufall in love nae, baada yakujua kuwa nimeshikamana akadai kuwa ananipenda sana ila alishatangaza ndoa kanisan, iliniuma sana nakumwambia basi, 2liendelea kuwasiliana ila siku zilivyoenda alizidisha upendo kwangu na kuniomba nishi nae as a 2rd wife, nilishikamana nakuwa tayari kwa hilo, alinishawishi kwa kila namna na mekwakuwa nilipenda nikakubali, ilifika kipindi akadai mke mwingine kajua basi tuishi kama marafiki nikasema okey japo niliumia sana ndan ya siku nikazoea, after 2 weeks akanitafuta akadai hamna k2 chochote alitaka 2 ajue kama kweli nampenda na ameamini yupo tayari kwalolote, me mateso niliyoyapata roho ikagoma na nilikuwa nimeishafanya maamz yakishi single maishani mwangu, alijitahidi na kujitetea nikafika ha2a yakutaka kurudiana nae, suku 2kakutana ghafula nashika simu yake nikakuta sms yam2 mwingine akidai anashukru kurudisha nafasi na upendo kama zamani, nilichoka na kuumia sana sikutaka kuoji wala kumsikiliza alipokuwa anajitetea zaidi yakunyanyuka kuondoka, akukata tamaha baada ya mwezi alikili nakuomba msamaha nakudai "we learn through mistakes" mwezi wa 3 sasa ananisumbua sana nakudai ayatajirudia tena na ctokaa nijutie maamuzi yangu!!!! binafisi nampenda sana ila roho imegoma kurudi tena, napata sana wakati mgumu, akituma text za kuomba msamaha nikisoma tu text zake naishia kulia!!!!!!!! siku alipiga simu nikadai nipo nyumbani naumwa, baada ya masaa 2 alifika kuniona nakuleta vitu vingi vyakuniongezea nguvu, alivyoondoka nilibaki tunalia. nimambo mengi napata sana wakati mgumu wa maisha yangu wapendwa! anapiga simu kila siku ila kuonana nae bado nafisi yangu imegoma. naomba ushauri wapendwa maana imenitokea kuwachukia hata wanaume wengine wote kukaa kumdate mwanaume tena roho imegoma kabisa.